masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Uliona mbali, yanaonekana wazi sasa.Hawa vijana wapangiwe kwanza nafasi ndogo ndogo ziwapike kiuongozi kwanza. Muhimu ni kuwaandaa si kukurupuka kuwapa nafasi za juu hivyo. Matokeo yake ndio haya wanakuja na mihemko ya hali ya juu. Wanakuja kwenye viti wakiwa na perceptions tofauti kabisa za wanayotakiwa kufanya. Wanawaza kupambana na CHADEMA na wafuasi wao tu, kwa cost yoyote ile.
Bado Hapi ,Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.
Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.
Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.
Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Tulia dawa ikuingieNdo shida ya wabongo chuki zao binafsi wanazileta kwenye siasa. Mbongo anataka akimchukia mtu bas watu wote wamchukie.
Pole na wewe!Pole
Mkuu tulikuambia ukweli, sasa Chalamila ndo anawashwa!Haya sasa chuki zako na kuwashwa washwa kwako ,jamaa wamepaa zaidi.Chalamila anakamata mkoa mkubwa zaid,wa mwanza.Mwanza ni jiji kubwa kuliko mbeya.Ina maana ameaminiwa zaid.Hapi anakamata Tabora.Acha chuki .
Ahsante sana kwa muongozoTutawafikia taratibu...
Sawa mkuuPoleni sana WANAFIKI.
Chalamila amehamishwa Mbeya kapelekwa Mwanza.
View attachment 1785894
View attachment 1785895
Mkuu bado upo Mwanza?Poleni sana WANAFIKI.
Chalamila amehamishwa Mbeya kapelekwa Mwanza.
View attachment 1785894
View attachment 1785895
Push up man alivitumia kama sehemu ya kuweka vichaa watakaomsaidia kutawala milele kwa kuwashughulikia wapinzani.Kwa kawaida hivi vyeo vya Rc na Dc vilikuwa wanapewa waalimu wakuu waandamizi,wanajeshi waandamizi na waganga administration wakuu waandamizi yaani kwa ujumla walitoka sehemu mbalimbali kwenye nafasi za uongozi ngazi ya kati ,waandamizi wabobezi na ataa bila kupanga ilikuwa umri haupungui 36 na kuendelea ,na mwendazake tuu ndio alileta huu ukiukwaji wote huu tulioshuhudia ,
Sasa unaingia mkoa wa MaraKituo kinachofuata, Happy Alliance.
Chalamila aliwahi kusema , Magufuli aanzishe chama kitakachoitwa Chama Cha Magufuli(CCM)Push up man alivitumia kama sehemu ya kuweka vichaa watakaomsaidia kutawala milele kwa kuwashughulikia wapinzani.
Leo wanalipia madhambi yao.
Wakaungane kuanzisha chama cha siasa wakiite magufuli party
Wakati umefika akaanzisheChalamila aliwahi kusema , Magufuli aanzishe chama kitakachoitwa Chama Cha Magufuli(CCM)
Wana CCM tulimvutia pumzi!
Mkuu la mabango ya matusi ni majungu au?Sikiliza,. Mimi sio Chalamila na wala sina maslahi ya moja Kwa moja kutoka kwake. Lakini penye ukweli lazima niseme. Tuhuma nyingi Kwa Chalamila kimsingi si tuhuma Bali majungu, ufuata mkumbo na ulimbukeni tulionao watanzania wengi kuzungumzia Mambo ambayo hatuyajui vizuri.
Chalamila chaliiiiiKatika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.
Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.
Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.
Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Mmh unawasagiaKatika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.
Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.
Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.
Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Hapi naona anapeta.VIP ?Dua hazikumfikia ???Polen sana ,na chuki za moyoni mwenu.Mkuu tulikuambia ukweli, sasa Chalamila ndo anawashwa!