Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Ukiona serikali iko bize kufatilia ushabiki wa mitandaoni.... Pole..... wakati huku ndipo kumejaa wezi na wazandiki wenye tamaa ya mafanikio ya haraka

Mitandaoni kumejaa chuki na unafiki,mtu analia umaskini wakati anatumia SM-J8 kucomment mitandaoni.

Umaskini upo mitaani, ukijiona wewe unatumia mitandao ya social media just upo daraja la Kati kimaisha, tuache unafiki kulia lia humu.

Serikali ifatilie manunguniko ya wananchi wa chini ambao hata kumiliki simu ya rununu kwake ni ndoto

Tusiwe washabiki watu kwa kuwanafiki wengine kwa manufaa ya mwengine

Kama mtu katenda kosa Sheria zipo wazi, tafuta ushahidi fungua shauri la kesi mahakamani, katiba na Sheria ipo wazi kwa hilo
 
Tanzania kama huna PHD ya kupika MAJUNGU na FITINA huwezi KUDUMU kazini au kwenye siasa.
 
inabidi sasa nianze kutumia "Iron Dome"
kujikinga na MAJUNGU na FITINA.
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makama na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Salum Ally Hapi kipi kibaya amekifanya ?!!

Comrade ,umeamua kumchafua MTANZANIA mwenzako ?!!!
 
Nyie mpepeeni kama unyoya bibi wa watu ila kwa jpm hata robo yake hana wa kufikia mafanikio yake. Badala ya kumsaidia rais wenu nyie mnampasua, shauri lenu na sie yetu macho
 
Sikiliza,. Mimi sio Chalamila na wala sina maslahi ya moja Kwa moja kutoka kwake. Lakini penye ukweli lazima niseme. Tuhuma nyingi Kwa Chalamila kimsingi si tuhuma Bali majungu, ufuata mkumbo na ulimbukeni tulionao watanzania wengi kuzungumzia Mambo ambayo hatuyajui vizuri.
Unamtetea sana ila jamaa hana busara ya kiuongozi.
1. Alihamasisha Raia kuchukua hatua mkononi badala ya kutumia vyombo ya usalama. Hku akijitapa kuua kwa bunduki.

2. Alitaka kubomoa hoteli kabla ya kupigwa stop kwa madai imejengwa kwenye source ya maji ilihali mtu alikua na vibali halali.

3. Chalamila anaingilia hadi majukumu ya Afisa Elimu. Kuforce kutimua wanafunzi kwa kosa ambalo walionekana hawana hatia na kuruhusiwa kurejea.

4. Vituko vyake wakati wa uchaguzi vipo wazi kabisa mpaka anatishia kuua watakaopinga matokeo.

5. Ni huyu alipotosha JPM yupo hai na ameongea naye ilihali serikali nzima ilikua kimya maana wanajua JPM haponi. Huoni ni insubordination hiyo?

Yes vinaweza kuwa vituko vya hapa na pale ila sio majungu bali ni vitu vya wazi kabisa alikosea. Hana tofauti na DC wa Iringa ila usiseme eti majungu wkt visa vyake kila mtu anaona.
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makama na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Ukianza kula nyama ya binadamu hutaacha.kila mtendaji ni mbaya na mzuri ni nani.muacheni mama afanye kazi zake msimsemee.kwa Nini mnanlisha maneno?Mama hawezifanya kazi kwa maneno ya humu mtandaoni.
 
Uyu chalamila Kwanza mshamba Sanaa anatutesea ndugu zetu mbeya tulikua Nagari ndogo za abilia tunaleta kubwa yeye anatuletea bajaji?

Au nayeye kawekeza kwenye bajaji alafu anajitapa ataleta magari ya jeshi kipindi chanyuma alitutolea nduguzetu pale kabwe alipo ongea nawafanyabiashara mama, dada waliteseka Sanaa uyu arud kwao iringa akalime nyanya avune machungwa.
Mmeanza ukabila hii dhambi itawamaliza basi na wanyakyusa wote walioko nje ya mbeya nao warudi kwao Mbeya si ndo mnavyotaka.wanyakyusa mmezoea ukabila wakati nyie mmejazana mikoa ya watu na nyie muondolewe mkakae kwenu mwanjelwa na kwa mama john
 
Ukianza kula nyama ya binadamu hutaacha.kila mtendaji ni mbaya na mzuri ni nani.muacheni mama afanye kazi zake msimsemee.kwa Nini mnanlisha maneno?Mama hawezifanya kazi kwa maneno ya humu mtandaoni.
Vipi na wewe ni mfuasi wa Chama cha Magufuli (CCM) , kama alivyopendekeza Chalamila?
 
Salum Ally Hapi kipi kibaya amekifanya ?!!

Comrade ,umeamua kumchafua MTANZANIA mwenzako ?!!!
Aliwatishia maisha wakongwe wa CCM, Kinana , Makamba na akina Nape.
Alitamka atawashughulikia na wanyamaze kumkosoa Magufuli.
Kwani huna ile clip?
 
Ukiona serikali iko bize kufatilia ushabiki wa mitandaoni.... Pole..... wakati huku ndipo kumejaa wezi na wazandiki wenye tamaa ya mafanikio ya haraka

Mitandaoni kumejaa chuki na unafiki,mtu analia umaskini wakati anatumia SM-J8 kucomment mitandaoni.

Umaskini upo mitaani, ukijiona wewe unatumia mitandao ya social media just upo daraja la Kati kimaisha, tuache unafiki kulia lia humu.

Serikali ifatilie manunguniko ya wananchi wa chini ambao hata kumiliki simu ya rununu kwake ni ndoto

Tusiwe washabiki watu kwa kuwanafiki wengine kwa manufaa ya mwengine

Kama mtu katenda kosa Sheria zipo wazi, tafuta ushahidi fungua shauri la kesi mahakamani, katiba na Sheria ipo wazi kwa hilo
Msiwe wanafiki.
Wengi wamefungwa na Mwendazake kwa kumkosoa mitandaoni, ati kwa kosa la mtandao.
Nikuulize mnafiki wewe, na Ben Saanane aliyekuwa akimkosoa Magufuli mmemuweka wapi?
 
Huyo alizuiwa tu kukiweka kijiji chote ndani, na alishaanza.

Mmeanza ukabila hii dhambi itawamaliza basi na wanyakyusa wote walioko nje ya mbeya nao warudi kwao Mbeya si ndo mnavyotaka.wanyakyusa mmezoea ukabila wakati nyie mmejazana mikoa ya watu na nyie muondolewe mkakae kwenu mwanjelwa na kwa mama john
Mnakimbilia kwenye ukabila ili tusiwaseme Nani kazungumzia ukabila?
 
Chalamila ndiye aliyeleta bajaji Mbeya mjini? Hizi ni chuki za kijinga na wivu tu. Mbeya mjini bajaji zimefurika kabla ya ujio wa Chalamila. Pia hata hizo bajaji zipo Kwa ajili ya watanzania hasa tabaka la chini. Hizo gari kubwa unazosema mbona hamzipeleki

Chalamila ndiye aliyeleta bajaji Mbeya mjini? Hizi ni chuki za kijinga na wivu tu. Mbeya mjini bajaji zimefurika kabla ya ujio wa Chalamila. Pia hata hizo bajaji zipo Kwa ajili ya watanzania hasa tabaka la chini. Hizo gari kubwa unazosema mbona hamzipeleki Isanga?
Atukatai bajaji tunataka ziwe katika utalatibu
 
Kwa kweli watanzania tupunguze ushabiki. Unalielewa vizuri tukio unalilizungumzia?
Vijana wa kijiji cha Ngole waliharibu miundombinu ya maji iliyokuwa inafadhiliwa na Wamarekani katika kijiji cha Mashese.

Ulitaka mkuu wa mkoa akiwa Kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa afanye nini ili kudhibiti ujinga na upambavu ule? Je huon Kama kauli na amri Ile vilimaliza mgogoro ule ambao kimsingi ungeweza kuleta maafa makubwa Kama watu wa Mashese wangeamua kujibu Mapigo?
Baada ya kusoma comment kadhaa nimegundua wewe ni Chalamila, hutoshi I.dot
 
Chalamila hafai kuwa Kiongozi wa umma kwa sababu hana akili timamu kama umewahi kumsikiliza mara kadhaa.
Sikiliza,. Mimi sio Chalamila na wala sina maslahi ya moja Kwa moja kutoka kwake. Lakini penye ukweli lazima niseme. Tuhuma nyingi Kwa Chalamila kimsingi si tuhuma Bali majungu, ufuata mkumbo na ulimbukeni tulionao watanzania wengi kuzungumzia Mambo ambayo hatuyajui vizuri.
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Orodha ni ndefu sana kwa wateule wa jiwe.

Jiwe was a useless person aisee.

Why alikuwa anateua wahuni kuwa viongozi wa wananchi??
 
Back
Top Bottom