Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Kwa kawaida hivi vyeo vya Rc na Dc vilikuwa wanapewa waalimu wakuu waandamizi,wanajeshi waandamizi na waganga administration wakuu waandamizi yaani kwa ujumla walitoka sehemu mbalimbali kwenye nafasi za uongozi ngazi ya kati ,waandamizi wabobezi na ataa bila kupanga ilikuwa umri haupungui 36 na kuendelea ,na mwendazake tuu ndio alileta huu ukiukwaji wote huu tulioshuhudia ,

Hawa vijana wapangiwe kwanza nafasi ndogo ndogo ziwapike kiuongozi kwanza. Muhimu ni kuwaandaa si kukurupuka kuwapa nafasi za juu hivyo. Matokeo yake ndio haya wanakuja na mihemko ya hali ya juu. Wanakuja kwenye viti wakiwa na perceptions tofauti kabisa za wanayotakiwa kufanya. Wanawaza kupambana na CHADEMA na wafuasi wao tu, kwa cost yoyote ile.
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Pole
 
Poleni sana WANAFIKI.

Chalamila amehamishwa Mbeya kapelekwa Mwanza.

FB_IMG_1621076229380.jpg


FB_IMG_1621076229380.jpg
 
Hawa vijana wapangiwe kwanza nafasi ndogo ndogo ziwapike kiuongozi kwanza. Muhimu ni kuwaandaa si kukurupuka kuwapa nafasi za juu hivyo. Matokeo yake ndio haya wanakuja na mihemko ya hali ya juu. Wanakuja kwenye viti wakiwa na perceptions tofauti kabisa za wanayotakiwa kufanya. Wanawaza kupambana na CHADEMA na wafuasi wao tu, kwa cost yoyote ile.
Chadema imeshafutika?
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Kahamishiwa mwanza,wa mbeya. Ni kama kapandishwa cheo hivi. Maana yake hata kenyewe kajiona ni katendaji mara 2 ya pale
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Haya sasa chuki zako na kuwashwa washwa kwako ,jamaa wamepaa zaidi.Chalamila anakamata mkoa mkubwa zaid,wa mwanza.Mwanza ni jiji kubwa kuliko mbeya.Ina maana ameaminiwa zaid.Hapi anakamata Tabora.Acha chuki .
 
Haya sasa chuki zako na kuwashwa washwa kwako ,jamaa wamepaa zaidi.Chalamila anakamata mkoa mkubwa zaid,wa mwanza.Mwanza ni jiji kubwa kuliko mbeya.Ina maana ameaminiwa zaid.Hapi anakamata Tabora.Acha chuki .
Nimekoma ubishi!
Hongera zake small man!
 
We naye hueleweki kwani issue niliongelea ni uchapa kazi au ethics na good governance?

Makonda alikua hachapi kazi? Mbona watu walimchukia sababu ya vitu vidogo sana hasa kauli zake mfano juu ya wachagga, ombaomba, wamiliki wa vitz, wabunge kupimwa mkojo, list feki ya wauza madawa n.k shida ni ethics tu ila sio utendaji.

Hata JPM kwani alikua ''hapigi kazi'' ila kilichomfanya aanza kutengeneza chuki ni zile kauli zake ambazo sio necessary. Anafika pemba anamshangaa Shein kuweka wapinzani serikalini, mara kumlipia matibabu seif etc.

Kama ni uchapa kazi hta Sabaya ni halali kabisa aendelee kuwepo Hai, ila linapokuja suala la ethics unapisha tu from the slightest mishap!!
Mbona wewe kama una maadili hujateuliwa?
 
Madudu gani si myalete hapa? RC wa Geita katuhumiwa live bungeni kwa kuiba pesa za mgodi ,huko Mbeya uliwahi sikia lini Chalamila katuhumiwa kwa ubadhirifu? kigezo kikubwa sana cha maadili na uwajibikaji
Leo vipi
 
Haya sasa chuki zako na kuwashwa washwa kwako ,jamaa wamepaa zaidi.Chalamila anakamata mkoa mkubwa zaid,wa mwanza.Mwanza ni jiji kubwa kuliko mbeya.Ina maana ameaminiwa zaid.Hapi anakamata Tabora.Acha chuki .
Kasome comments za wa Mwanza na utapipata tu.Wananchi hawakosei.
Hata hivyo mpe hongera mzee Small .
 
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Kweli bado Hapi deni liishe
 
Back
Top Bottom