Rais Samia, bodi ya mikopo(HESLB) inakuharibia kazi

Rais Samia, bodi ya mikopo(HESLB) inakuharibia kazi

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Na Thadei Ole Mushi.

Bodi ya Mikopo acheni kucheza na watanzania....huyu ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo kwenye salary slip ya mnufaika huyu inaonekana mshahara wake baada ya kukatwa 141,000 Balance ya Deni lake lilikuwa 2,727,860. Hivyo kama angelikatwa Mwezi wa Sita Tena 141,000 balance ingebakia 2,586,845 badala yake baada ya kukatwa 141,000 balance yake imebakia 2,727,845.

Tafsiri yake ni kuwa Bodi wanakata 141,000 lakini kiasi kilichopungua kwenye Deni lake mtumishi ni 18,015. Makosa haya hatujui kama ni ya Bodi ya Mikopo au ni ya Hazina.

Serikali huwa inachukiwa Kwa uzembe wa Aina hii. Manispaa ya Morogoro karibia Watumishi wote hili limewatokea. Hata kama tutakuwa na Rais mzuri kiasi Gani kama watendaji huku chini watakuwa wa Aina hii bado Rais atachafuka.

Yaani Mama anapambana Kupandisha Watumishi Mishahara halafu Kuna watu wanaipunguza watakavyo. Yaani kwa kitendo hiki waliopandishwa madaraja wanaona hakuna Ongezeko kwenye Mishahara yao.

Share uwezavyo Kwa lengo la kuirekebisha Bodi ya Mikopo.

Cc: Mh Mohammed Mchengerwa Mbunge Mohamed Mchengerwa .

Ole Mushi
0712702602.


View attachment 1836722View attachment 1836723
 

Attachments

  • FB_IMG_1625136976246.jpg
    FB_IMG_1625136976246.jpg
    33.1 KB · Views: 4
Lipeni acheni kelele mlikopa hamtaki kulipa nani awalipie

USSR
 
Ole hajui mwaka wa fedha huanzia July ,mbona ni kilaza Kama vilaza wenzake

USSR
 
Na Thadei Ole Mushi.
Bodi ya Mikopo acheni kucheza na watanzania....huyu ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo kwenye salary slip ya mnufaika huyu inaonekana mshahara wake baada ya kukatwa 141,000 Balance ya Deni lake lilikuwa 2,727,860. Hivyo kama angelikatwa Mwezi wa Sita Tena 141,000 balance ingebakia 2,586,845 badala yake baada ya kukatwa 141,000 balance yake imebakia 2,727,845.
Upo mpaka huku
 
Ole hajui mwaka wa fedha huanzia July ,mbona ni kilaza Kama vilaza wenzake


USSR
We jamaa ni mpuuzi sana mwaka wa fedha unahusiana nini na makato ya mtu?? umeangalia hizo salary slips na kusoma maelezo.

Mataga ni mapimbi wa kutupa, kwa taarifa yaka hata ndugu zenu mataga wenzako hapa wanapita kinya naa mbinyo ni kwa wote
 
Lipeni acheni kelele mlikopa hamtaki kulipa nani awalipie

USSR
Unadhubutu kusimama mbele ya kaka zako na kujitapa ww ni mwanamke kwa tabia kama hizi??
Tumia akili acha kukurupuka
Sio enz za mwendazake hizi
 
We jamaa ni mpuuzi sana mwaka wa fedha unahusiana nini na makato ya mtu?? umeangalia hizo salary slips na kusoma maelezo.

Mataga ni mapimbi wa kutupa, kwa taarifa yaka hata ndugu zenu mataga wenzako hapa wanapita kinya naa mbinyo ni kwa wote
Sijawahi ona mwanamke mjinga kama huyo USSR
 
Tuoneshe na hiyo picha ya salary slip ya mwezi wa sita ili tupate uhakika.

2,727,860 - 141000 = 2586860, sio 2,586,845

Kama balance yake ya mwezi wa sita imebakia 2,727,845. Kwa maana hiyo imepunguzwa sh 15 wakati kakatwa sh 141,000. hivyo 140985 imeliwa
 
Na Thadei Ole Mushi.
Bodi ya Mikopo acheni kucheza na watanzania....huyu ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo kwenye salary slip ya mnufaika huyu
Samaani naomba kuuliza iyo 320,155.15 ndio mshahara anao ukuta kwenye account yake kwaajili ya kuendelezea maisha au ni iyo laki 9 na elfu 40.
 
tuoneshe na hiyo picha ya salary slip ya mwezi wa sita ili tupate uhakika.

2,727,860 - 141000 = 2586860, sio 2,586,845

Kama balance yake ya mwezi wa sita imebakia 2,727,845. Kwa maana hiyo imepunguzwa sh 15 wakati kakatwa sh 141,000. hivyo 140985 imeliwa
Hii hapa
FB_IMG_1625136986428.jpg
 
samaani naomba kuuliza iyo 320,155.15 ndio mshahara anao ukuta kwenye account yake kwaajili ya kuendelezea maisha au ni iyo laki 9 na elfu 40.
320k [emoji2299][emoji2299][emoji2299]
 
tuoneshe na hiyo picha ya salary slip ya mwezi wa sita ili tupate uhakika.

2,727,860 - 141000 = 2586860, sio 2,586,845

Kama balance yake ya mwezi wa sita imebakia 2,727,845. Kwa maana hiyo imepunguzwa sh 15 wakati kakatwa sh 141,000. hivyo 140985 imeliwa
Huu uzi umenifanya niangalie salary slip za toka mwezi wa kwanza. Nimegundua wamenikata mwezi Juni lakini balance ya deni ni la mwezi wa Mei. Ina maana mwezi huu licha ya kunikata fedha yote imepotea. Hazina na bodi mtueleze kuna utapeli mnataka kufanya ili kumuharibia Mama Samia
 
Back
Top Bottom