seen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
seen
Nikweli jamani hata Mimi nimekuta hivo hivo Jamboambalo sielewi kwa kweli, na sijui hio pesa nyingine imekwenda wapi? Mwezi huu wa 5 na 6Na Thadei Ole Mushi.
Bodi ya Mikopo acheni kucheza na watanzania....huyu ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo kwenye salary slip ya mnufaika huyu inaonekana mshahara wake baada ya kukatwa 141,000 Balance ya Deni lake lilikuwa 2,727,860. Hivyo kama angelikatwa Mwezi wa Sita Tena 141,000 balance ingebakia 2,586,845 badala yake baada ya kukatwa 141,000 balance yake imebakia 2,727,845...
Fuatilia kama deni halipungui maana yake utaendea kukatwa hadi uchakae nenda na hizo salary slips HESLB ukalalamikeNikweli jamani hata Mimi nimekuta hivo hivo Jamboambalo sielewi kwa kweli, na sijui hio pesa nyingine imekwenda wapi? Mwezi huu wa 5 na 6
.........,Piracy, plundering, robbery =Primitive Accumulation of Capital.Looting!
Mwigulu anakula mema ya nchi taratibuMwigulu nchemba acha wizi... Watumishi wanaokatwa bodi ya mikopo deni lao halijapungua ilihali pesa za mwezi juni zimekatwa!
Yupo pale kutengeneza pesaHi ndio shida ya ku-skip au kuibia elimu kwa kutumia jina la mtu. Mwigulu anapaswa ajiuzulu.
Washarekebisha
Umefuta jina halafu cheki namba umeiacha,unajianika kitoto
Umeona MWANDISHI NI NANI???? NA NAMBA ZA SIMU AMEWEKAUmefuta jina halafu cheki namba umeiacha,unajianika kitoto
Eti wanaishi "kindezi" kama "pimbi"😆😆😆😆 daahUmeona MWANDISHI NI NANI???? NA NAMBA ZA SIMU AMEWEKA
KWANI HAPO KUNA SHIDA GANI MBONA WANAISHI KINDEZI KAMA PIMBI??
Hivi unahisi wakitaka kukuchukua wanashindwa na simu ya ina IP ADRESS na umeweka "LOCATION ON".
Don't dare think you are invisible