Rais Samia chukua hatua kali zaidi, ulikuwepo Awamu ya Tano na sasa upo Awamu ya Sita, unaijua serikali barabara!

Rais Samia chukua hatua kali zaidi, ulikuwepo Awamu ya Tano na sasa upo Awamu ya Sita, unaijua serikali barabara!

Rais wangu mama Samia Suluhu Hassan kuendesha serikali yenye kupata mafanikio si jambo la lelemama hata kidogo,kama unatafuta kupendwa,fahamu utapendwa na wachache ila utachukiwa na wengi sana na mwisho wa siku historia itakuhukumu.

Nikupe mfano,kwa kinachoendelea bandarini ,kama ukweli uko seriously,mkurugenzi wa bandari na mkrugenzi wa TRA unapaswa kutengua nafasi zao haraka sana,ili tujue uko mguu sawa ,wanasubiri nini ofisini?


Pili Kitendo cha kumrudisha January Makamba pamoja na bodi nzima ya tanesco iliojaa watu wasio na weledi na ambao huko nyuma wamehusika kwa namna flani kulihujumu taifa, tegemea kashifa nyingine kwenye uongozi wako huko mbeleni .hapa umeingizwa chaka.
Mambo bado kabisa,kuendesha serikali hii inahitaji kuwa na roho ngumu sana .Hayati Magufuli hili alilifahamu sana na ndio maana aliteua na kutengua kila uchao.


Nimalize kwa kusema, kwa kuwa wewe ni mwenye huruma na macho yako ni ya huruma kabisa tegemea na wewe kuhurumiwa ndani ya uongozi wako,

Wamejipanga ,walipukutishwa wanazirudisha kwa kasi na pia hawakumalizwa
Usiseme analialia ila ni kweli achukue hatua kali ,hii nchi ya wajinga bila ubabe haiendi hadi hapo ustaarabu utakapatikana.
 
Alifikiri urais ni sawa na umakamu ,ngoja asikilizie ulezi wa taifa ulivyo mgumu na kuna hatari ya wanawake ku prove failure kwa nafasi za juu kimamlaka
 
Rudisheni Kwanza matrillion mliyokwapua hazina bila huruma. Ni tone tu baharini la trillion 1.5 liliwekwa hadharani na mzalendo Assad na zingine zikiwekwa hadharani watanzania watapatwa na cardiac arrest.
Tumia kichwa kufikiri ,acha kutumia makalio ,utafeli sana
 
Kwanza kabisa, kwa sasa amfute kazi mkurugenzi wa "taasisi" (UWT)
Mama asipokuwa makini nae, sio kumwangushia yeye tu jumba bovu...hata nchi anaipeleka pabaya sana!
 
Rais wangu mama Samia Suluhu Hassan kuendesha serikali yenye kupata mafanikio si jambo la lelemama hata kidogo,kama unatafuta kupendwa,fahamu utapendwa na wachache ila utachukiwa na wengi sana na mwisho wa siku historia itakuhukumu.

Nikupe mfano,kwa kinachoendelea bandarini ,kama ukweli uko seriously,mkurugenzi wa bandari na mkrugenzi wa TRA unapaswa kutengua nafasi zao haraka sana,ili tujue uko mguu sawa ,wanasubiri nini ofisini?


Pili Kitendo cha kumrudisha January Makamba pamoja na bodi nzima ya tanesco iliojaa watu wasio na weledi na ambao huko nyuma wamehusika kwa namna flani kulihujumu taifa, tegemea kashifa nyingine kwenye uongozi wako huko mbeleni .hapa umeingizwa chaka.
Mambo bado kabisa,kuendesha serikali hii inahitaji kuwa na roho ngumu sana .Hayati Magufuli hili alilifahamu sana na ndio maana aliteua na kutengua kila uchao.


Nimalize kwa kusema, kwa kuwa wewe ni mwenye huruma na macho yako ni ya huruma kabisa tegemea na wewe kuhurumiwa ndani ya uongozi wako,

Wamejipanga ,walipukutishwa wanazirudisha kwa kasi na pia hawakumalizwa
CCM ni ile ile ukoo wa panya wote wapigaji tu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Another idiot again
It's not fair to call me an idiot. Those who have stollen trillions you call them patriots. What kind of human beings are you? Do you really have blood running on your fakin'veins? Me I haven't cause any loss to the country but some one who's an expert in misusing and stealing public funds and money unashamedly since 1995 you calling him a patriot. What kind of creatures are you???😡😡🤬🤬🤬
 
Siyo trillion 1.5 aliiba tu jamaa aliiba jumla ya trillion 9.8 naushee tena pekee yake ukijumlisha na mabilion ya rambirambi. Imejin nine trillion and something.

That's why his life was shortened without that the dude would continue scooping trillions more
Trillion 9.8? Au unaandika tu mkuu?
 
He must be extradited from hell to come face all atrocities he committed to Tanzanias, stand for trial and forced to return beck our trillions.
Kiingereza hakikupendi mkuu.
 
Huna akili.

Unaweza ukaiba trilioni 1.5 alafu bado ukajenga flyover, ndege ,meli , bandari ,kuhamia dodoma?
Kama unevunja rekodi ya marais wote Tanzania kwa kukopa, tena ndani ya miaka 5, hakika unaweza.!
 
Siyo trillion 1.5 aliiba tu jamaa aliiba jumla ya trillion 9.8 naushee tena pekee yake ukijumlisha na mabilion ya rambirambi. Imejin nine trillion and something.

That's why his life was shortened without that the dude would continue scooping trillions more
Kwa kilugha chetu cha bondeni jina lako limamaanisha "mchawi" na adhabu yake siku ya mwisho kwa mujibu wa maandiko matakatifu unaijua...
 
Back
Top Bottom