Kiazi ni wewe na hawara ya bibi yako mzaa babu yako.kwani ugaidi siyo kuvunja sheria we kiazi nini?
Kama ilivyokuingia ya sabaya,ulituliaaa!Sabaya alipofungwa ulishangilia sana, tulia dawa imwingie gaidi
Hivi huyu bibi anatafuta kuheshimiwa na nani wakati matendo yake hayampi heshima? Kama atakaka kuabudiwa, akawaambie wake watoto wake.Viroboto wa Nape mnahali mbaya sana.
Mpo mpo tu. Heshima hailazimishwi , kama Hangaya hakujifunza kwa Mwendawazimu namhurumia sana.
Tutapiga mpaka achakae ,hakuna heshima hapa. Ni katiba na Sheria tu.
Haya unayazungumza kwasababu uko huru unakula ugali na nyama huku ukishushia na Kiwingu ya baridi 🤣🤣🤣Mimi ningependa Mbowe afungwe jela na kifungo chake ndicho kitapelekea Watanzania kwa wingi kukiondoa chama changu cha CCM madarakani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2025.
Huu ni mtizamo wangun
Hivi kipindi cha sikukuu huwa unaongea maneno yasiyo na UKAKASI?!!!!Bibi katili huyu na anaroho mbaya haswa
😳😳😳🤣🤣Hawa watu si wamefoji umri mkuu unaweza kuta yeye kiukweli hakosi miaka 73 na Zitto 48 au 50 hivyo ni sawa kumuita mwanangu
kijana wa zamani vipi baba angu hii kauli idadafue kidogo basiKwanza afuate sheria
Pili awe na heshima
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Tetetetete😳😳😳🤣🤣
Wewe jamaa ni mwongo kama "tumba mbichi"......
Kwa upuuzi wa huyu mama, ni aheri niungane na Polepole, japo najua ni mhalifu, kuliko huyu kuendelea kuwaonea Watanganyika.Hana lolote huyu nferiority complex tu inamsumbua mbaya zaid nimemsikia akipanga kuwepo mpaka 2030 Ila ajue tu Mungu naye anapanga ya kwake.
Wapi mkuu kuna ukakasi?Hivi kipindi cha sikukuu huwa unaongea maneno yasiyo na UKAKASI?!!!!
RIP CHACHA WANGWE🙏
[emoji3][emoji3][emoji3] jiongeze mkuuMkuu huo ni uzi au komenti?Hebu edit uandike kwa kina Una madini mengi sana!!
Hivi akisamehe kwa njia ya kufuta napo inakuwa hajafanya jambo jema?Rais ambaye ni mshitaki/mlalamikaji ili mahakama ihukumu (watumishi wa uma akiwepo DPP wanafanya kazi zao kwa mapenzi ya Rais), anaweza kuondoa malalamiko/mashitaka yake wakati wowote.
Hata hivyo, anaruhusiwa kisheria na kikatiba kusamehe hukumu zilizotolewa mahakamani, ambapo kwa Mbowe bado.
Nimesema hivyo kwa kuwa ulininukuu. Naona ulivyojibu, huenda hukuupata ujumbe wangu kwa usahihi. Kama haijakupendeza, basi niwie radhi. Sikuwa na dhamira mbaya, ja ninajuabhuna dhamira mbaya. Najua unaumizwa kama ninavyoumizwa. Uwe na siku njema ndugu yangu.Kwahiyo wewe umetoa mtihani unapitia kusahihisha wanafunzi?
Nikijibu ninavyotaka mimi basi "sijaelewa nilichosoma"?
Wewe ndio umeelewa na unajua inatakiwa ijibiweje?
Basi fanya hivi,futa maoni yangu ambayo wewe umeona sio sahihi then andika yako hapo then jisomee uridhike!
kwa hiyo unataka kusema maza na chama ni mbali mbali - wanamzunguka tu kama duara.Wenye maamuzi kumsamehe Mbowe ni wenye chama ambao wanaona Mbowe alitaka kuwapokonya ulaji. Samia ataondoka baada ya muda wake kuisha kwahiyo wenye chama wanaangalia mbele zaidi wakiona kumuachia Mbowe italipa watamwachia.Kama hailipi atafungwa.
Hii ni Justification ya kuwa kesi si ya ugaidi, ila ni kulipa kisasi ama kukomoa mtu...hatia hamna ila anakomolewa tu, ni wapi Freeman alifanya kitu kilichostahili akomolewe? Wajuvi wa fitina ebu nijibuni hili swali? OVA!Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia amesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.
Kwani si mkubwa kicheo ?!!!
Hivi hujawahi kumsikia mzee Warioba akimuita mh.SSH mama?!!!
Usipomheshimu kihivyo kwa urais wake basi hutomheshimu hata kwa UCHIFU WAKE MKUU?!!!!
Mama kamzidi Zito miaka zaidi ya 20 hv!!kama mama angepewa mimba akiwa na Miaka 18 angemzaa zito!!Kwani si mkubwa kicheo ?!!!
Hivi hujawahi kumsikia mzee Warioba akimuita mh.SSH mama?!!!
Usipomheshimu kihivyo kwa urais wake basi hutomheshimu hata kwa UCHIFU WAKE MKUU?!!!!