Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

Nukuu hii inaonesha kisa cha kukamatwa na uamuzi uliopangwa kuhusu kesi. Unapokuwa na kesi ambayo Rais amehadithiwa na maamuzi ya kesi yaliyokwisha fikiwa! Hili ni tatizo kwenye utawala wa sheria.
 
Mama aliona Mbowe kama anataka kumpanda kichwani kwa kampeni yake ya katiba mpya.

Hapa inadhihirisha tuhuma za Mbowe ni za kubumba.... Na pia kumwonyesha tu kuwa huwezi kushindana na serikali
Wakati Rais anaonesha fika kwamba kikombe cha MBOWE kimeshaishinda serikali,hii ni poor planning
 
Mimi ningependa Mbowe afungwe jela na kifungo chake ndicho kitapelekea Watanzania kwa wingi kukiondoa chama changu cha CCM madarakani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2025.

Huu ni mtizamo wangun
I think ni good ideas, ingawa wengi watakua against
 
Kuna kitu mbowe wamepishana na Samia.
Kila kiongozi akiingia madarakani Kuna watu lazma atawanyoosha.
Mimi nakumbuka magufuli na manji.
Kikwete na Babu seya.
Kiufupi hyo kesi wametengeneza na wanaweza kumfunga.maana wamedhamiria
Kumfunga ni political suicide kwa Samia,na sasa ameshaanza kuliona hilo vyema- Serikali inatafuta namna ya kuifuta hii kesi pasipo wananchi kuelewa vyema kupitia script za kina Zitto,changamoto ni kwamba script imeshavuja mapema kabla hawajai-execute
 
Kutofuata Sheria na kukosa heshima afanye Mbowe, mateso ya kuchomwa mshikaki yamwendee Adamoo, Ling'wenya na akina Urio??? Hii heshima ina gharama sana.
 
angalau hata hiyo nafasi imepatikana na leo tunaweza kupata habari....sasa ZZK naye asingeenda au wote tungesusia hiyo habari tungeitoa wapi...
Kwa jinisi kesi ilivyofika, maji yashawafika shingoni. Kama asingesema kwenye mkutano wa vyama vya siasa angeweza kusema mahali popote pale! Period!
 
Kwa maneno haya Mbowe yupo ndani KIMABAVU KUONESHANA NANI MWENYE MADARAKA MAKUBWA SIO NANI MWENYE MAKOSA
Rais hana cha kufanya zaid ya kumwachilia Mbowe manake ndoano lazima aitapike,pressure imekuwa kubwa mno kwake
 
Mimi ningependa Mbowe afungwe jela na kifungo chake ndicho kitapelekea Watanzania kwa wingi kukiondoa chama changu cha CCM madarakani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2025.

Huu ni mtizamo wangun
Kafungwe wewe kisha tutafanya hivyo
 
Kumfunga ni political suicide kwa Samia,na sasa ameshaanza kuliona hilo vyema- Serikali inatafuta namna ya kuifuta hii kesi pasipo wananchi kuelewa vyema kupitia script za kina Zitto,changamoto ni kwamba script imeshavuja mapema kabla hawajai-execute
"Tatizo muda"
 
Rais hana cha kufanya zaid ya kumwachilia Mbowe manake ndoano lazima aitapike,pressure imekuwa kubwa mno kwake
Nimesoma comments za watanzania kwenye page ya milladayo aisee wamemjibu ni balaa.Si kwa matusi hapana,bali kwa maovu na unyanyasaji wooote unaofanywa na upande wa Rais/ mwenyekiti wa ccm. Watu wana evidences balaa.Wanachambua uchaguzi wa serikali za mitaa,uchaguzi mkuu,matukio ya risas,kuumizwa na kupotezwa watu si mchezo.

Kuna jambo la kujitafakari wao na si kuainisha upande wa upinzani kuwa una shida kumbe chanzo ni wao.



Nimeogopa maneno ya mama mdogo wa mbowe,ni kama ya mama Kabendera.Naogopa kiongozi kuanguka akiwa madarakani tena kwani maneno yale si mazuri.
 
Duuu very painful
 
Macho kumchuzi anazungumzia heshima ipi hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…