Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia mesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.
Hapa Maza anamaanisha nini ....!!? Yaani Mbowe yuko jela kwa sababu hana heshima .... Seriously!!Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia mesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.
Kwa hiyo wewe una uhakika kuwa MBOWE alishiriki vitendo vya UGAIDI?Mbowe sio kwamba akishinda alikuwa kaonewa ni kwa sababu ametumia udhaifu wa sheria
Ndiyo kimerudi kwa wenyewe!Naunga mkono hoja. Mama anaupiga mwingi. Lingekuwa lile jamaa lingetukana badala ya kujibu kwa hoja.
Chema kimerudi kwa wenyewe
Mkuu umetoka lini mwezini?Kuna maswali muhimu ya kujiuliza
Afuate sheria gani? Kavunja sheria gani?
Amheshimu nani? Ni nani kamkosea heshima?
Kwahiyo kesi yake sio ugaidi tena? Bali ni maswala ya sheria na heshima?
[emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie mpo mmekaa kimya tuJaji ni nani hata atoe hukumu kinyume na matakwa ya mamlaka yake ya uteuzi? Mpaka hapa Mbowe ameshafungwa miaka 30 jela.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tunaendelea kujifunza sababu yakuwa au kutokuwa na kipaumbele Cha katiba mpya pamoja na haki za mikutano ya hadhara na hata Ile ya ndani na kwanini tumkose au tuwakose mhamasishaji/wahamasishaji wa eneo Hilo la democrasia ya kweli ikiwa ni pamoja na uhanga na wahanga wa katiba mpya .Lini CCM imewahi kuwa na kipaumbele cha katiba.
Tafsiri halisi anamkomoa kwa madai hafuati sheria na hamuheshimu.Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia mesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.
Wewe unatakaje kwani?[emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie mpo mmekaa kimya tu
Umemwelewa rais wako alivyomjibu zitto,au ndiyo nyie kichwani utoporo?Mbowe hayupo juu ya sheria, ameshtakiwa kisheria atahukumiwa kwa sheria na kama akishinda ni kwa sheria. Sio kwamba akishinda alikuwa kaonewa ni kwa sababu ametumia udhaifu wa sheria
Unajua maana ya ugaidi wewe,au ugaidi unaufananisha na kazi yako ya kugawa marindaa!kwani ugaidi siyo kuvunja sheria we kiazi nini?
Watakiondoaje wakati wanakuwa madarakani kwa kupora kura?Mimi ningependa Mbowe afungwe jela na kifungo chake ndicho kitapelekea Watanzania kwa wingi kukiondoa chama changu cha CCM madarakani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2025.
Huu ni mtizamo wangun
KWANZA nani kamuomba zitto kutusemea ya Mbowe, tumejiandaa KWa vyovyote kuhusu kesi hii, dalili zote zipo wazi,Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia mesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.
Napata shida ungewahi ishi hata chembe moja tu ya maisha hayo unayotulingishia kwa ID fake ya jf, basi Tanzania yote tungejua!!Huo ni utaratibu wetu mimi na yeye wa kwendz kwenye majukumu ya familia kila alfajiri. Sasa wewe hiyo hasara umetuwekea wapi? Tusingefanya hivyo wewe mshahara ungepata wapi[emoji849][emoji849][emoji849]
Au unafikiri kila mwanaume ni ka-vulana kama wewe unayemaliza ma housegirl wa mtaa!?
Mungu akusaidie utakapokua mkubwa uache uchafu wa kuchanganya mjakazi na mkeo yasije kukupata yaliyompata Ibrahim na Yakobo
Mxiuuuuu
Kwani bado mnalialia?Kumbe nchi haifuati sheria inafuata chuki binafsi za rais wa nchi kua anahisi amekosewa heshima?
Ndio maana tunataka katiba mpya,like yesterday!
Nawe unatoa hoja kama umekatwa kichwa! Wapi chifu Hagaya kasema Mbowe amefanya ugaidi?Kwani ukifanya ugaidi siyo kosa kisheria?