Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

Kuna maswali muhimu ya kujiuliza
Afuate sheria gani? Kavunja sheria gani?
Amheshimu nani? Ni nani kamkosea heshima?
Kwahiyo kesi yake sio ugaidi tena? Bali ni maswala ya sheria na heshima?
Ukimsoma Zito psychologically ni kama anakiri Mbowe anamakosa vile. Na anajua kwa uzito wa makosa na ushahidi wake - Mbowe hawezi kuchomoa, ndo maana anamshawishi Rais aachane na UTAWALA WA SHERIA tunaoudai. Atumie nguvu za kiMungu tunazozipinga kwenye katiba ya sasa amtoe Mbowe.
 
Huyu mama huenda alikataliwa na mbowe
 
Hii sasa Kali toka ugaid hadi mkosa heshima
 
Mkuu maliza msiba tuendelee na kibibi cha kiarabu. Kafa kaoza, nakufukiwa.
Ile takataka hakua nafaida yeyote nchi hii.
Unaonaje sasa baada ya takataka yako kufa jinsi mnavyofaidi uhuru..
 
Jumong kuvunja sheria na kutoheshimiwa ndio uhujumu uchumi na ugaidi?!
 
😳🀣🀣
Acha kujifaragua mzee wa US....

Ni rahisi mno kuzitoa tuhuma hizo mzeya......

Hakuna ushahidi wa usemalo....

Na huna ushahidi wa hilo unenalo.....

Umeamua kuwa ABUNUWASI kutujengea TASWIRA isiyopo 🀣🀣

Mwana umejaa mbwembwe sana.....eti mna "plants" zenu wanaowapa hints kila SEKUNDE duuuuh bonge la "biti" hili 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hapana JPM alimweka ndani zaidi ya siku 90
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ccm ife kwa makundi?

Muulize Mbowe na Lisu 2015
 
Nimeiona clip ya mama mdogo wa Mbowe aisee,anaongea laana tupu.I smell something. Naogopa sana mtu mwingine kufa akiwa madarakani kwa laana za watu.Lifanyike jambo mwamba awe huru na wenzake ni hatari yale maneno.

Ni kama maneno ya mama Kabendera
 
Maushungi kamtumia Zitto kuongea kwa huruma ili amtoe Mbowe ionekane kama sio Zitto kuongea kwa kupiga magofi vile asingemtoa

Zitto ni NAFIKI namba moja hii dunia
πŸ˜›
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Bitozo mdini, mbona mashee wa uamsho aliwaachia huru?

Tatizo kuongozwa na mtu ambaye siyo mtanganyika litatutesa Sana

Mbona wao waliificha taarifa ya msiba wa magufuli mpaka akawa anakaribia kuoza ndio wanatupa taarifa za msiba nani kavunjiwa heshima taifa au wao kuficha msiba?
 
Mkuu

Mna kibarua cha kumvuka Polepole na group lake

Mnachofeli mnadhani hilo kundi ni dogo au ni Polepole mwenyewe....

Y'all are mistaken big time

Mkishamvuka Polepole ndio mje kututafuta mmeshachoka hadi matakoni
Kwani kundi la polepole lina nguvu?

Si mlisema ni washamba na wamekomeshwa na watoto wa mjini?

Alafu hayo maneno ya mwisho kabisa yanaonesha unapanic
 
Kwa kusema hivi Ina maana kesi ya mbowe imetokana na Mbowe kutokuwa na heshima na kufuata sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…