escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
acha upumbavuUjinga wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha upumbavuUjinga wako!
Naona ya kwetu ni mirindaHa ha ha!
Hii quote of the month!
DEMOKRASIA SI COCA COLA!
Rugemarila yu huru. Sema sema sema.Mabavicha lazima yateme ndoano
Hiyo itakuongezea ugali mezani kwako?Rugemarila yu huru. Sema sema sema.
Tarehe 17 march bado zipoCCM kwa kweli kazi wanayo safari hii ......!!
Hiyo ni miezi 6 .... Baada ya mwaka sijui itakuwaje!
Watokee wapi?!!Mimi nasubiri mtufuano na watarajiwa wengine wa hiyo nafasi.
Za China rather.Naona tunataka kuletewa Demokrasia ya Kingazija
Kila nchi ina demokrasia yake....Kwa maana hiyo hata UDIKTETA ni 'DEMOKRASIA'?
Anaelewa anachikizungumzia?
Kama kweli rais kayasema haya, anatofauti gani na hawa watu waliomo humu JF kama akina Johnthebabtist, Magonjwa, Etwege, na wengineo wa aina hiyo?
Kwani demokrasia haianzii ngazi ya familia na ndani ya vyama?!!Ni mwenyekiti wa nchi gani hiyo?
Ndio maana kujibishana na watu kama wewe ni kupoteza muda. tu!
Kwa sababu mnajifanya wajinga wa kipumbavu vile!
Hakuna haki isiyozingatia WAJIBU NA UTARATIBU.....Hivi kuiba kura ni mila zetu? Kudanganya ni mila zetu? kunyanyasa watu kwasababu ya kupingana kisiasa ni mila zetu?
Demokrasia na haki za watu ni haki za kibinadamu na Tanzania hakuna mila moja kuna katiba moja.
Wajibu na utaratibu ni nini? sheria na katiba au ni kitu kingine!!Hakuna haki isiyozingatia WAJIBU NA UTARATIBU.....
Hii ndiyo demokrasia tuliyonayo sisi watanzania inatutoshaDemokrasia ya bongo chini ya CCM ni ukandamizaji na ubambiakiaji kesi wapinzani. Wizi wa kura na kila aina ya michezo michafu ili mradi tu serikali ya ccm inaki madarakanidemokrasia tuliyonayo sisi watanzania inatutosha
akisema kila eneo lina demokrasia yake, mila na desturi zetu hazimtambui mwanamke kama kiongozi.
Mwambieni huyu mtu hii nchi sio kikundi cha kikoba ajifunze kuweka akiba ya maneno.
Mlioaminishwa kwamba yule kichaa aliyekufa kwa Corona alikuwa anapambana na uhujumu uchumi ndo mjue alipambana na watu sio rushwa. Ona sasa anaachiliwa mmoja baada ya mwingine!Hiyo itakuongezea ugali mezani kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha bhna.. Mwenzio anaenda kufaidi mihela yake aliyokuibia tangu enzi za EPA alafu wewe unakula vumbi hapo ufipa unashangilia?
KUMBE kuteka na kubambikwa kesi ni mila!Kutokana na mila na desturi ninauhakika yeye anajua desturi za uisilamu unasema nini kuhusu mwanamke mbele ya wanaume, si vizuri kwa yeye kuishia kujifunika mwili.