Rais Samia: Dereva aliyeamua kuliingiza lorry kwenye korongo kwa kukwepa utelezi

Jitu la hovyo unaliacha lipotee na upumbavu wake, wakuja ni wakuja tu ataondoka
 
Samia siyo Dereva ni konda
 
Mbowe kabambikiwa kesi ya ugaidi ambao kimsingi haupo nchini na watu wa nje waliosikia hayo hasa vyombo vya kijasusi vya nje.
Slaa nae kabambikiwa kesi ya uhaini ambayo kimsingi haupo nchini na wengi wanazidi kumshangaa mbambikiaji.
Mbambikiaji sii mwingine ila yule yule Samia rais aliyejinadi kuwa mwenye jinsia ya ke.
Kama ofisi kuu ya nchi ndio wabambika kesi raia, polisi na raia itakuwa je huku ngazi za chini?
Ni kilio kila mahali ila chonde chonde watu wasipangiwe namna ya kulia. Waachwe walie kila mtu kwa sauti ya kabila lake. Hii itasaidia kupu guza hasira na angalau kuahirisha kisasi.
 
Hii imenikumbusha mzee fulani ambaye alikuwa anampa kichapo mtoto wake wakati mwingine kwa kumwonea halafu anamlazimisha kucheka badala ya kulia.
 
masikini akipata matako hulia bwata
 
Mwenye machungu na bandari ambayo ht haikuhusu
 
Ngonjera hz....
 
Naunga mkono hoja yako, Binafsi najiuliza hivyo huyu ndiye yule yule Samia aliyeanzisha mahusiano mema na kutatua changamoto kadhaa ktk kuleta demokrasia? Bila shaka kuna kundi linalomshauri vibaya wakiwa na dhamira yao makhususi.
Umemsahau Mwenyekiti wa mtaa wa Msoga?
 
Mahakama yamehitisha suala la Bandari lakini wewe unaendeleza porojo! Yaani unapingana na mahakama halali.
Kenge wewe
 
Kiminyo Kiko pale pale
 
Unapo ingia kukikalia kiti cha Urais na alie toka ana akili kama za Magufuli hupaswi kuchukua mambo kisiasa ila akili zaid usiangukie pua. Wenye akili wengi ukiwauliza watakujibu same nilivyo jibu. Mh Rais angekuwa Rais Bora sana kama wakati anachukua nchi angetulia nakufanya decision zenye akili kuliko za kisiasa. Mfano alipo ingia aka anza kutoa mashehe hii ilimpa sifa ya siku moja ikamuanika vibaya kwenye macho ya Dunia ya usalama. Kufanya mabadiliko ya ghafla kwenye uchumi nakutaka pesa irudi kwenye mzunguko ilimpa sifa zakisiasa kwa
 
Hahangaiki na kutatua uhovyo wa mkataba, bali anahangaika kuzima sauti za wanaolalamikia mkataba wa hovyo.
The UK first drafted the coup plans after Mosadegh was appointed as Iran’s prime minister in 1951 following the nationalisation of a British oil company in the country. Initially, the US government led by Harry Truman rejected British overtures. However, prime minister Winston Churchill successfully petitioned Truman’s successor, Dwight Eisenhower, to collaborate on the effort.

In early 1953, the UK and US intelligence services began planning the operation, which was renamed ‘Ajax.’ According to declassified documents the operation sought regime change through the bribery of Iranian politicians, along with high-ranking security and army officials, and massive anti-Mossadegh propaganda that helped instigate a public revolt in 1953. The coup then brought Shah Mohammad Reza Pahlavi back to power.

Owen argues, though, that the Western undermining of Iranian democracy directly contributed to the shah’s regime subsequently falling in the Islamic Revolution of 1978.
===
Nikujipima tu kama hegemony iliyojengwa katika misingi yenye Nia ovu inalipa ama la!!!
 
Mahakama yamehitisha suala la Bandari lakini wewe unaendeleza porojo! Yaani unapingana na mahakama halali.
Kenge wewe
Mada hii ni kwaajili ya wenye akili timamu. Wewe ambaye hukujaliwa akili, unaweza kupumzika. Acha walio wazima wachangie mada.
 
Naunga mkono hoja yako, Binafsi najiuliza hivyo huyu ndiye yule yule Samia aliyeanzisha mahusiano mema na kutatua changamoto kadhaa ktk kuleta demokrasia? Bila shaka kuna kundi linalomshauri vibaya wakiwa na dhamira yao makhususi.
Eti kundi linomshauri vibaya ,hilo kundi nan amelichagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…