masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.