Rais Samia: Don't rock the boat. Biashara na uchumi vitayumba

Rais Samia: Don't rock the boat. Biashara na uchumi vitayumba

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Kwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.

Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.

Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.

Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.

Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.

Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.

Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.

To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.

Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
 
Mama kaweka kipaumbele kwenye uchumi hataki siasa za mudomo-mudomo

Kama mwekezaji wako kachomoa, ujue hakua mwekezaji

unataka tuamini kwamba kuna mwekezaji alikubali kuwekeza enzi za Magu, halafu akachomoa Kwa Samia?
Nani aliwekeza wakati wa Magufuli.
Usiwe mshamba, hata kina Bakhressa walihamisha mitambo kwenda Rwanda na kwingineko.
Nyie ndio hamuoni frame zilizowazi mtaa wa Independence na watu lukuki waliorudish leseni za TRA.
Mmezoea vya bure kwa kukamua watu kama kupe.
 
Nani aliwekeza wakati wa Magufuli.
Usiwe mshamba, hata kina Bakhressa walihamisha mitambo kwenda Rwanda na kwingineko.
Nyie ndio hamuoni frame zilizowazi mtaa wa Independence na watu lukuki waliorudish leseni za TRA.
Mmezoea vya bure kwa kukamua watu kama kupe.
Kama hwakuwekeza then we are zero so hakuna kipya

btw, hujasoma ukaelewa- shida kubwa ya ushamba

kasome tena nilichoandika

Samia offers better investment environment than Magu did

huna mwekezaji wala Aunty yake mwekezaji
 
Wewe unataka CDM wafanye vurugu na kuleta taharuki waachiwe tu na sheria isifuate mkondo wake? Huo ni ujinga, unataka serikali ianze kuogopa watu kisa wawekezaji? Mwisho wa siku unataka tuwe na serikali kama za Haiti, Jamaica na sehemu hizo za hovyo ambazo serikali inaogopa watu na taasisi zake?? Hilo haliwezekani, hao wawekezaji waondoke tu.
 
Kama hwakuwekeza then we are zero so hakuna kipya

btw, hujasoma ukaelewa- shida kubwa ya ushamba

kasome tena nilichoandika

Samia offers better investment environment than Magu did

huna mwekezaji wala Aunty yake mwekezaji

Huwa sibishani na ma lumpen!
 
Mama kaweka kipaumbele kwenye uchumi hataki siasa za mudomo-mudomo

Kama mwekezaji wako kachomoa, ujue hakua mwekezaji

unataka tuamini kwamba kuna mwekezaji alikubali kuwekeza enzi za Magu, halafu akachomoa Kwa Samia?
Uchumi upi wakati matumizi makubwa ya nguvu yanatisha na kuogopesha investors.

Maana investors wanajua, ukishaanza kuabuse power, ipo siku utawageukia wao na kuwapora mitaji yao kibabe
 
Kwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.

Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.

Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.

Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.

Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.

Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.

Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.

To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.

Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Pole, sio ugaidi tu, hata kuwa na kodi zisizotabirika ni kikwazo kikubwa kwa muwekezaji. Angalia Samia anavyoua telecommunications industry; wamerundikiwa mikodi mpaka kichefuchefu. Katika utawala wa huyu mama nina mashaka kama tutapata serious investors from overseas.
Manji kanusa kaona hapa sio, kaondoka
 
Wewe unataka CDM wafanye vurugu na kuleta taharuki waachiwe tu na sheria isifuate mkondo wake? Huo ni ujinga, unataka serikali ianze kuogopa watu kisa wawekezaji? Mwisho wa siku unataka tuwe na serikali kama za Haiti, Jamaica na sehemu hizo za hovyo ambazo serikali inaogopa watu na taasisi zake?? Hilo haliwezekani, hao wawekezaji waondoke tu.
Soma vizuri mada na kuielewa.
 
Back
Top Bottom