Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiishiwa huwa mnaanza mitusiKula mshahara kajambe na ulale.
Masuala ya uwekezaji tuachie.
Kaa kimya kwa mambo ambayo hujui .Mkiishiwa huwa mnaanza mitusi
Hata Magufuli alianza mdogomdogo baadae akawa hashikiki kabisaNguvu ya Samia haifiki ya Magu kabisa
so let’s find other excuses
hakuna mwekezaji kati yenu
Huna rights hizo dogoKaa kimya kwa mambo ambayo hujui .
Acha kudema wewe ni chadema; na huyo mwekezaji ni chai tuKwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Kwani neno ugaidi halina mbadala?!Wewe unataka CDM wafanye vurugu na kuleta taharuki waachiwe tu na sheria isifuate mkondo wake? Huo ni ujinga, unataka serikali ianze kuogopa watu kisa wawekezaji? Mwisho wa siku unataka tuwe na serikali kama za Haiti, Jamaica na sehemu hizo za hovyo ambazo serikali inaogopa watu na taasisi zake?? Hilo haliwezekani, hao wawekezaji waondoke tu.
Mbowe anatuhuma za ugaidi kesi iko mahakamani muwe wapole basiKwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Waache wasite kama kuna gaidi tusiseme kwasababu ya muwekezaji huko kwao wanakoishi ndio kuna matukio yakutusha ya kigaidi ... hatuwafikiiKwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Huyu mama yeye aliona atumie "ugaidi" badala ya "uhujumu uchumi" akidhani atakuwa ameupiga mwingi kulinganisha na Marehemu Mzee Pombe kumbe ndiyo kwaanza anazidi kuyakoroga maji.Ugaidi hili neno ndio linalo trend kwa sasa bila kujali impact yake kwenye sector kama tourism nk.
Pole sana mkuu 'masopakyindi'.Kwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Watu msiongee kwa kufurahisha jopo.Sounds like muwekezaji wako alikua anatafutiza sababu ya kuchomoa, hii ya ugaidi haina mashiko.
Mkuu nakushukuru kwa kunielewa.Pole sana mkuu 'masopakyindi'.
Kuna mambo kadhaa ambayo umeyaandika hapa yanasikitisha sana, lakini kubwa zaidi linalosikitisha ni kwa watu kama wewe, mnaojitambua vizuri kabisa kuwa na tabia za ubinafsi kiasi cha kuona faida kwenu ni bora zaidi kuneemeka kwa nchi yetu. Mnaweka maslahi yenu mbele zaidi ya maslahi ya nchi yenu.
Imenibidi niandike hivi kwa haraka, kwa sababu sina muda wa kulemba tena juu ya mwelekeo wa nchi yetu inakokwenda.
Na usidhani sikutambui na kuheshimu unayosimamia hapa wewe na pacha wako, mkuu 'Jidu' kwa muda mrefu ambao tumekuwa tukijibishana kuhusu jambo hili hili.
Katika hali inayolikabili taifa hili kwa sasa ni ubinafsi usio kifani kujaribu kufunga macho na masikio usione matatizo mengi yanayotokea wakati huu.
Komaa tu na biashara zako mkuu.Kwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
Mbona kenya kuna ugaidi wa alshaabab lakini inashine kibiashara. Acheni kumtisha mama nyie vyademaKwanza nina declare position,
Mimi ni mwana CCM.
Tena ni mfanya biashara.
Zaidi ya hapo nina muunga mkono Mama Samia.
Haya matukio ya kisiasa hivi karibuni kibiashara na hatimaye kiuchumi yameleta ukakasi kidogo.
Nasema hivi kwa experience ya yaliyonikuta hivi karibuni.
Nilipata ahueni sana kibiashara baada ya Mama Samia kutamka wazi kuwa yuko pro-business.
Nilimpata partner toka nje aliyekubali kuwekeza pamoja na mimi, mtaji wangu ukiwa industrial plot na vibali vyote vya uwekezaji.
Na hao jamaa walishakuja, sitataja uraia wao.
Mara tukaanza kusikia maneno ya ugaidi na watu kuswekwa ndani.
Ieleweke, sitetei uhalifu wa aina yoyote, lakini ijulikane kuwa ukijitangaza ugaidi watu hasa wawekezaji wanasita.
To make my story short, muwekezaji wangu kasitisha uwekezaji kwa muda, anasema anaangalia na ku assess situation.
Kwangu mimi ni big set back, maana time is money and a missed oppurtunity is a loss.
Mama Samia charanga karata vizuri, tunahitaji mtaji wa tranquility.
... kama jiwe alidai "alisukumizwa tu" hakuwa amejiandaa sijui huyu tusemeje?Nchi ina ombwe kubwa sana la uongozi
Ikulu ni mzigo - JK NYERERE
Hebu jiongeze kidogo Mkuu. Ukishaitangazia dunia kuwa Una magaidi nchini mwako na ushahidi ukathibitisha kwa kesi zilizoko mahakanani unategemea nn kwa wawekezaji?? Au unafikiri watapuuza kisha uwekezaji uendelee? Magaidi wote huwa wanawafuasi wao underground ambapo hakuna ajuae watafanya shambulio gani na wapi.Wewe unataka CDM wafanye vurugu na kuleta taharuki waachiwe tu na sheria isifuate mkondo wake? Huo ni ujinga, unataka serikali ianze kuogopa watu kisa wawekezaji? Mwisho wa siku unataka tuwe na serikali kama za Haiti, Jamaica na sehemu hizo za hovyo ambazo serikali inaogopa watu na taasisi zake?? Hilo haliwezekani, hao wawekezaji waondoke tu.
Huyu mama yeye aliona atumie "ugaidi" badala ya "uhujumu uchumi" akidhani atakuwa ameupiga mwingi kulinganisha na Marehemu Mzee Pombe kumbe ndiyo kwaanza anazidi kuyakoroga maji.