Rais Samia: Februari na Machi, 2024, Mgao wa umeme utaisha Nchini

Rais Samia: Februari na Machi, 2024, Mgao wa umeme utaisha Nchini

anaongea vitu vyepesi tupu, huwezi msikia anaongea mambo magumu,huwezi sikia swala la ufisadi wala ajira wala, gharama za maisha, hivyo hutakaa uvisikie kutoka kinywani mwake. Sukari kwa sasa ni Tsh 4000/ kilo 1 huwezi msikia anazungumzia hayo.
Hata akiongea mambo magumu hakuna kitakachobadilika. Magufuli alikuwa anaongea kwa ulali na kufokafoka lakini kaiba trillion 30
 
1000006581.jpg
 
anaongea vitu vyepesi tupu, huwezi msikia anaongea mambo magumu,huwezi sikia swala la ufisadi wala ajira wala, gharama za maisha, hivyo hutakaa uvisikie kutoka kinywani mwake. Sukari kwa sasa ni Tsh 4000/ kilo 1 huwezi msikia anazungumzia hayo.
Na huwez sikia mambo ya uwindaji haramu
 
Yani rais anahutubia halafu raia hawana hiyo taarifa 😂 rais alikuwa JPM tuu
 
Mlitegemea azungumze nini cha maana kwake wakati hakukua na mechi anunue magoli kwa milioni 10.
 
Watu mna moyo aiseeee yaani unakaa kusikiliza hotuba ya mwanafisiemu angalia matokea achana na maneno.
 
Hizi ahadi zimekua nyingi sana.
Tusubiri kalenda ingine
 
Hotuba haionekani kuwa nzuri kwa sababu yoote ayasemayo hakuna hata moja linalo tatua kero za wa danganyika.
Sasa naona wanaanza kujitambua. Hata jina mama linaanza kupotea.
 
Kama kawaida Huwa napenda ku deal na masuala ya takwimu na Uchumi.

Akihutubia Taifa Rais wa JMT amesema pamoja na Changamoto za Kiuchumi zilizojitokeza mwaka 2023 ila Kituo Cha uwekezaji Tanzania TIC kilifanikiwa kusajili miradi zaidi ya 500 yenye thamani ya Mtaji wa $ 5.6bln(Zaidi ya Trilioni 14) ndani ya mwaka mmja.

Amesema mwaka wa 2023 ulikuwa ni mwaka wa reforms(Mageuzi) lakini matokeo ya hayo yote yataanza Kuonekana zaidi kuanzia mwaka 2024.

View: https://www.instagram.com/p/C1h1XRQo_Dc/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Hongera Rais Samia Kwa Mageuzi yaliyowezesha Imani kubwa ya Wawekezaji na kuleta mtaji mkubwa kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom