Hata akiongea mambo magumu hakuna kitakachobadilika. Magufuli alikuwa anaongea kwa ulali na kufokafoka lakini kaiba trillion 30anaongea vitu vyepesi tupu, huwezi msikia anaongea mambo magumu,huwezi sikia swala la ufisadi wala ajira wala, gharama za maisha, hivyo hutakaa uvisikie kutoka kinywani mwake. Sukari kwa sasa ni Tsh 4000/ kilo 1 huwezi msikia anazungumzia hayo.
Ndo hivyo kelele zote zile Ila kaishia kuibaHata akiongea mambo magumu hakuna kitakachobadilika. Magufuli alikuwa anaongea kwa ulali na kufokafoka lakini kaiba trillion 30
Ni mazito na yote yamefeli hawezi zungumzia failuresSijawahi msikia akizungumzia mambo serious ya nchi hii.
Acha wademkeRaisi unanichosha kuelekeza, toa amri!
Mimi nilijua atakuja na mikakati ya kupunguza makali ya maisha kwa kuteremsha Bei za bidhaa muhimu kwa matumizi ya kila siku!Tumepigwa aise
Mkuu, weka clip basiTumepigwa aise
Na huwez sikia mambo ya uwindaji haramuanaongea vitu vyepesi tupu, huwezi msikia anaongea mambo magumu,huwezi sikia swala la ufisadi wala ajira wala, gharama za maisha, hivyo hutakaa uvisikie kutoka kinywani mwake. Sukari kwa sasa ni Tsh 4000/ kilo 1 huwezi msikia anazungumzia hayo.