Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

kasema zigawanywe tu, hakusema nusu bin nusu , n.k na kufuata formula mgawanyo unatakiwaa kuwa 96:4
 
Hilo nalo neno. Nijuavyo mimi mambo ya Muungano yanaendeshwa kwa fedha zinazopatikana Tanzania bara ukiacha mikopo toka nje ya nchi. Mathalan, Zanzibar wana mamlaka ya kodi wakati mamlaka ya kodi ya Muungano, yaani TRA huwa haikusanyi kodi huko Zanzibar. Wazanzibar lazima waelewe kuwa kama hawajadai kuchangia katika Muungano basi wakae kimya kuhusu mgawo wa kitu ambacho hawajachangia.
@Gurtu

Hujui kama TRA ipo huku Zanzibar. Unaishi Tanzania ya wapi wewe?
 
Ndio muungane sasa na hao wakenya sijui kwanini mnachelewa na kuwakumbatia wazenj ambao hamnufaiki nao kwa kitu chochote.
Wakati tunasema muungano uvunjwe wewe ulikua wapi?
 
Yani kwa sababu tu Zanzibar inapata pesa ya muungano kama mdau namba moja wewe inakuuma sana hadi unaona sherehe ifutwe duh! mko na roho mbaya... sijui ilikuwaje yule mzee tukafika kuungana na wakatili.
Wanyonyaji wakubwa nyinyi! Sisi tunahangaika kulipa kodi huku Tanganyika, ili tuwatunze nyinyi Wazanzibari!

Wabunge wenu wanakula tu mishahara na posho kwenye bunge la Tanganyika na wakati mna bunge lenu la Wawakilishi. Miaka yote hamtosheki! Ni kulia lia na kunung'unika tu! Natamani mjitenge hata kesho ili hawa Wazanzibari wenzenu lukuki walio ajiriwa huku Bara kama walimu, nk waanze kulipa vibali vya kufanya kazi ili tupate kodi za kuiendelezea nchi yetu.

Nyinyi Wazanzibari na pia CCM ndiyo chanzo kikuu cha umaskini kwa Watanganyika walio wengi, kutokana na unyonyaji mnao tufanyia.
 
Tumeambiwa na Makamu wa Rais kuwa Rais wa JMTZ ameagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe ya muungano wa TANGANYIKA NA ZANZIBAR zigawanywe kwa usawa, usawa upi! Mathalani zikiwa ni bilioni 2 0 tsh. Je Zanzibar wapewe bil.5 hali kadhalika Tanganyika!?

Ikiwa Zanzibar ina idadi ya watu milioni 3 ni halali kuwa na mgawo sawa na Tanganyika nye watu 55 milioni? Je mataifa haya mawili yanauwiano sawa katika kuchangia mapato ya muungano?

Kama sivyo ni dhahiri kuwa Zanzibar imependelewa katika mgao huo ikiwa unafanyika ''pasu kwa pasu'' ni sawa na mgawanyo wa faida za ubia wa TANZANIA NA BARRICK kwenye kampuni mpya ya TWIGA ili hali TANZANIA ina hisa 16 na BARRICK ni hisa 84!!!
 
Wanyonyaji wakubwa nyinyi! Sisi tunahangaika kulipa kodi huku Tanganyika, ili tuwatunze nyinyi Wazanzibari!

Wabunge wenu wanakula tu mishahara na posho kwenye bunge la Tanganyika na wakati mna bunge lenu la Wawakilishi. Miaka yote hamtosheki! Ni kulia lia na kunung'unika tu! Natamani mjitenge hata kesho ili hawa Wazanzibari wenzenu lukuki walio ajiriwa huku Bara kama walimu, nk waanze kulipa vibali vya kufanya kazi ili tupate kodi za kuiendelezea nchi yetu.

Nyinyi Wazanzibari na pia CCM ndiyo chanzo kikuu cha umaskini kwa Watanganyika walio wengi, kutokana na unyonyaji mnao tufanyia.
Hii kali yani Vampire analia ananyonywa na mimeno yake ya ncha kali kama sindano wakati huyo anaemlalamikia ni kibogoyo ... chizi kweli wewe.
 
Wakati tunasema muungano uvunjwe wewe ulikua wapi?
Umesema wapi ? mimi najua wazee wa Pemba walisema wanataka zanzibar yao ya mamlaka kamili mukawapoteza mazima , wewe ulisemea wapi na lini ..
 
kwani hii pesa huwa inatengwa kutoka kwenye pato la muungano au pato la upande upi? na utagawaje sawa wakati upande mmoja una watoto wengi na upande mwingine watoto wachache? hivi familia yenye watoto 8 inaweza kupata mgao sawa na familia yenye watoto 2 au mmoja? ndio useme usawa? tukiendelea hivi, muungano unaweza kuvunjika kwasababu Zanzibar watajiona wao ni nchi kamili, na hakuna kitu kinaitwa nchi kamili ndani ya nchi nyingine. Tanganyika ilipoteza identity yake na haijitambui kama nchi kamili bila kuwepo zanzibar ndani, ilitakiwa iwe hivyo kwa zanzibar. mark my words tunakoeelekea kunaweza kuibua mianya isiyo mizuri.
 
Hii kali yani Vampire analia ananyonywa na mimeno yake ya ncha kali kama sindano wakati huyo anaemlalamikia ni kibogoyo ... chizi kweli wewe.
Nyinyi Wazanzibari hamna tofauti na Chawa, mbu au Mbung'o! Kwa kiswahili sanifu naweza kuwafananisha na parasites! Without Tanganyika, you are nothing!!!
 
Labda niulize kuwa pesa za gharama za Muungano huwa zinatoka wapi au kwa utaratibu gani.

Pili, je Zanzibar kuna pesa ambayo wanachangia kwenye Muungano kusema sasa warudishiwe sehemu?

Kinyume na hapo Tanganyika haipaswi iendelee kuifadhili Zanzibar. Otherwise tuambiwe kuwa nao Zanzibar kuna pesa huwa wanachangia huku kwetu.

Mh Rais asitake sasa kuwa nyonya wabara kwa jasho lao kupafaidisha kwao. Haya ndo madhara ya kuwa na Rais kutoka Zanzibar. Kama kuna sehemu anaona Zanzibar wananyonywa aseme wazi na hiyo mianya izibwe.

Lakini siyo sisi huku tupigike halafu jamaa wawe wanakula tende na urojo tu mwisho wa siku wapate pesa zetu.
Mkuu hawa Zanzibar ni sawa na watoto wa kudekezwa wanasubiri tu chakula mezani, si unakumbuka deni la umeme walivyogoma kulipa? halfu kugawa sawa huo mgao ni makosa huwezi ukagawa sawa kwa Zanzibar na bara kwani hata uhitaji wa maendeleo na miradi ni tofauti,hata uwingi wa watu ni tofauti kugawa sawa wakati hata ratio ya watu haipo sawa ni kutuonea wabara watu milioni 48 ugawe sawa na watu milioni 2 ambao hata ukipiga filimbi utawakusanya wote kwa pamoja inakuwa si sawa, na hawahawa ndio waliamua kusajiri meli kivyao hata za wabeba sembe, ni hawa hawa ambao wanadai mafuta yatakayopatikana kwao yatakuwa yao peke yao na si ya muungano, na hata hiyo kodi yao inaishia huko huko kwao, wabinafsi sana hawa watu.
 
kwani hii pesa huwa inatengwa kutoka kwenye pato la muungano au pato la upande upi? na utagawaje sawa wakati upande mmoja una watoto wengi na upande mwingine watoto wachache? hivi familia yenye watoto 8 inaweza kupata mgao sawa na familia yenye watoto 2 au mmoja? ndio useme usawa? tukiendelea hivi, muungano unaweza kuvunjika kwasababu Zanzibar watajiona wao ni nchi kamili, na hakuna kitu kinaitwa nchi kamili ndani ya nchi nyingine. Tanganyika ilipoteza identity yake na haijitambui kama nchi kamili bila kuwepo zanzibar ndani, ilitakiwa iwe hivyo kwa zanzibar. mark my words tunakoeelekea kunaweza kuibua mianya isiyo mizuri.
Wana hela za kuchangia huo Muungano? Kama umeme wenyewe tu kutoka Tanganyika walikuwa wanatumia bure! Ndiyo watoe hela kwa ajili ya Muungano!! Hizo hela ni za Watanganyika!

Na ndiyo maana utawakuta wako kwenye bunge la Watanganyika badala ya lile bunge lao la wawakilishi, wakiwawakilisha wananchi hewa!
 
Nyinyi Wazanzibari hamna tofauti na Chawa, mbu au Mbung'o! Kwa kiswahili sanifu naweza kuwafananisha na parasites! Without Tanganyika, you are nothing!!!
Kambarage ndivo alivokufundisha hivo.. poor you, soma historia kijana acha kukata mauno.
 
Ingelikuwa ni rahisi ivo mbona kitambo mzee baba tushasepa .
Sasa mnashindwa nini!! Miaka yote hii tunawalea tu! Ni watoto gani nyinyi msio kua? Yaani huwa inanikera sana niwaonapo wabunge wa Zanzibar kwenye bunge letu la Tanganyika wakitafuna kodi zetu kinyume kabisa cha utaratibu!
 
hili mimi limenishangaza baadhi yetu kununa na kufura zanzibar kupata gawio

mara ngapi mwenda zake kaahirisha sherehe na pesa zote zikatumika upande mmoja na wazanzibari hawakulalamika hata kidogo.

zilipelekwa muhimbili
wamejenga hospitali dodoma na mengi

iweje leo iwe nongwa ?
 
Back
Top Bottom