Rais Samia: Fedha za Mauzo ya Mazao ya Kilimo Kama Kahawa Zitatusaidia Kuondoa Utegemezi wa Mikopo Yenye Masharti Kutoka Nje.

Anashoboka na shamba la mtu binafsi badala ya kupambana kumrudisha peasant wa Kilimanjaro na Bukoba? Songwe pia kuna mkulima mkubwa wa kahawa, akafurahishwe na huko pia.
 
Anashoboka na shamba la mtu binafsi badala ya kupambana kumrudisha peasant wa Kilimanjaro na Bukoba? Songwe pia kuna mkulima mkubwa wa kahawa, akafurahishwe na huko pia.
Hujui kitu wewe punguani , peasant sio mtu binafsi? Kote huko nani anawezesha kama sio Serikali?

Punguani waheed
 
Kaamua kudanganya!

Kakopa weeee matrillion baada ya kuona mambo magumu akaanza kutumia chuma process kukalia kiti ndio anawananga waliomkopesha!

Ni rasmi mambo ni magumu sana!
 
Hujui kitu wewe punguani , peasant sio mtu binafsi? Kote huko nani anawezesha kama sio Serikali?

Punguani waheed
We KIAZI, kwa uelewa wako AVIV TANZANIA LIMITED ni sawa na PEASANT? Wote ni watu binafsi. Yani tajiri na masikini ni sawa kwa vile wote ni binaadamu?! Kwama unapambanua mambo namna hiyo wewe ni mavi kweli kweli.
 
Hiyo kahawa wanamuuzia nani? Mzungu akigoma kununua? Akishusha bei ya kununulia? Mzungu hakwepeki kama oxygen tu, Bibi Samia aongoze tu nchi kwa haki tu.
 
Hiyo kahawa wanamuuzia nani? Mzungu akigoma kununua? Akishusha bei ya kununulia? Mzungu hakwepeki kama oxygen tu, Bibi Samia aongoze tu nchi kwa haki tu.
Hata muhindi akizuiwa kununua kahawa ya bongo na mataifa makubwa mambo yanalala mkuu. Hawa CCM wanajikuta sana.
 
Hata muhindi akizuiwa kununua kahawa ya bongo na mataifa makubwa mambo yanalala mkuu. Hawa CCM wanajikuta sana.
India sio LDC kwamba itazuiwa na Mabeberu,kama USA imeshindwa nanai mwingine wa kumzuia India? Ndio maana India na China wananunua Mafuta ya Russia na maisha yanasonga.

Mwisho nimekwambia kwamba Africa saizi imeanza kuinuka kwenye Intra-Africa trade bila kutegemea Wazungu.
 
We KIAZI, kwa uelewa wako AVIV TANZANIA LIMITED ni sawa na PEASANT? Wote ni watu binafsi. Yani tajiri na masikini ni sawa kwa vile wote ni binaadamu?! Kwama unapambanua mambo namna hiyo wewe ni mavi kweli kweli.
Mavi ni wewe na waliokuzaa.

Sekta binafsi ni pamoja na peasants na Serikali inafanya kazi kuwasapoti wote.
 
Nchi inaongozwa kwa hisia sana, Viongozi wanafuata upepo utakapowapeleka .

Waliwahi kuzungumzia parachichi katika muktadha huu huu, Je unaelewa nini kinaendelea kwa wakulima wa Parachichi huko Njombe?
 

Kwa hiyo madeni yamemzidi sasa anaanza kuelewa. Ndugai aliposema walitaka kumla nyama mbichi mbichi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…