Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.
Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.
Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Mwisho, niseme tunakushukuru kwa kuwa msikivu na huo ndio uongozi.Ubarikiwe sana.
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.
Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.
Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Mwisho, niseme tunakushukuru kwa kuwa msikivu na huo ndio uongozi.Ubarikiwe sana.