Crimea JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 25,874 Reaction score 36,030 Jun 27, 2023 #21 Zanzibar-ASP said: Anza kwanza kulaumu wote waliohusika kumuwezesha kukalia hicho kiti. Watu wa kwanza kuwalaumi ni wanaCCM, pili tumlaumu sana mwendazake, maana ametutengezea bomu na kulitega, sasa linatulipukia wote. Click to expand... Kusaini hiyo mikataba ni utashi wao hawa waliopo, mwenda zake hana cha kulaumiwa. Hawa waliopo siyo watoto kwamba hawajui jema na baya.
Zanzibar-ASP said: Anza kwanza kulaumu wote waliohusika kumuwezesha kukalia hicho kiti. Watu wa kwanza kuwalaumi ni wanaCCM, pili tumlaumu sana mwendazake, maana ametutengezea bomu na kulitega, sasa linatulipukia wote. Click to expand... Kusaini hiyo mikataba ni utashi wao hawa waliopo, mwenda zake hana cha kulaumiwa. Hawa waliopo siyo watoto kwamba hawajui jema na baya.