Rais Samia hababaishwi wala kupotoshwa na wasaidizi wake, bali anajua anachokifanya kwa 100%

Anza kwanza kulaumu wote waliohusika kumuwezesha kukalia hicho kiti. Watu wa kwanza kuwalaumi ni wanaCCM, pili tumlaumu sana mwendazake, maana ametutengezea bomu na kulitega, sasa linatulipukia wote.
Kusaini hiyo mikataba ni utashi wao hawa waliopo, mwenda zake hana cha kulaumiwa.

Hawa waliopo siyo watoto kwamba hawajui jema na baya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…