Hilo siyo suala la TBS, ni la customs. Sababu ilikuwa kuingiza vifaranga bila ya kufuata taratibu zote zinazotakiwa. Hakuna hata aliyewapima vifaranga na kugundua walikuwa na magonjwa.kwani sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu uingizaji wa bidhaa kiholela,vipi TBS wanasemaje
Ulitaka apigane ili yasifanyike? Watati ulikua unamjua mtangulizi wake alivyo!!!... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
Kwahiyo angepigana ili wasichomwe?? Halaf hii mamb mnaongeaga tuu wakat mnamjua fika mtangulizi wake alikuajeViongozi wa cxm wanafiki sana,yeye c alikuwepo
Huyu madam ni very hopelessRais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Chanzo: Swahili times
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Chanzo: Swahili times
Mgewarudisha waliko toka badala ya kuwateketeza."wenzake tayari wanatumikia sentence zao, yeye kakimbilia Nairobi nadhani ni calculation tu". Hapa siyo dhambi, dhambi ni kuchoma kuku wenye magonjwa waliokuwa wanaingia nchi bila kujali sheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Uwe unasoma vizuri kabla ya kujibu. Hawakukosa documentation bali incomplete documentation. Kutokamilika kwa documentation siyo sawa na kukosekana kwa documentation.Kukosa documentation ni number one qualification kupigwa kiberiti na mhusika kwenda prison. Maana kama hakuna documentation ni magendo, na ni havijulikani vilikotoka wapi, kwahiyo si Tz wala Ke wangekubali vinatoka kwao.
Hayo magonjwa uliwapa wewe? Nani alikuambia kuwa walikuwa na magonjwa? Tatizo lilikuwa improper documentation siyo magonjwa.Baada ya kutumia sumu then uchimbe shimo la futi 10 uvitie au uanviacha tu visambae ugonjwa uenee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angefanya nini? Lile lishetani silingemtoa roho pia?... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
Dicuments zilikuwepo lakini hazikuwa kamili.Zitapokewa vipi kama hakuwa na nyaraka zinazoonesha kwamba wametoka Huko
Unajua kazi za makamo wa rais?Viongozi wa cxm wanafiki sana,yeye c alikuwepo
Mboe ni gaidi tuTuache pia kusingiziana ugaidi ili kudumisha mshikamano wa ndani kwa ndani.
Au ,,kipindi hicho yanafanyika yeye angeweza kufanya nini?... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
Uliwapima na kukuta na ugonjwa?"wenzake tayari wanatumikia sentence zao, yeye kakimbilia Nairobi nadhani ni calculation tu". Hapa siyo dhambi, dhambi ni kuchoma kuku wenye magonjwa waliokuwa wanaingia nchi bila kujali sheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Mboe ataozea jela na malienge yakeAfute kesi ya Mbowe. Machozi ya hizi familia hayata muacha salama
How? Rais anafutaje kesi?Afute kesi ya Mbowe. Machozi ya hizi familia hayata muacha salama
Sheria ni muhimu sana kufuatwa ,sio kutaka kufurahisha watu wenginesheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Magufuli yeye alisema hashauriki. Ukimshauri ndiyo umeharibu kabisa.Mbona hakusema haya wakati ule? si alikuwa ktk utawala ule? alikemea? aliwaita wahusika?
Hivi hii tabia ndani ya ccm mbona inakuwa kama sera na dira yao.
Zama zile ulikuwa na chaguzi mbili.walikua wapi kuongea haya mambo, siwalitakiwa wamshauri mwendazake katika masuala kama haya? imagine wanachofanya sasa ni kinyume kabisaaaa na aliyekua kiongozi wao na malaika wao mkuu, ambaye ilifika kipindi akaitwa Yesu mwana wa Mungu aliye hai, wakaenda mbali zaidi wakamwita Mungu, hii dunia ina unafiki wa hali ya juu sana , yaani watu wale wale huwezi kuamini, kuna kina ndalichakoo , kuna kina dorotheeeeeee gwajifix yaani ni aibu sana , na bado wapo tu kwenye ma STK na bendera wanapeperusha kabisaaa mchana kweupe