Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Daah! wale vifaranga walivyochomwa tukaambiwa eti wanamagonjwa, kumbe ilikuwa roho mbaya ya Bwana yule. Taratiiibu ukweli wa yaliyofichwa unaanza kuwekwa wazi! Soon hata wale wasiojulikana wanaojulikana maza atawasema siku moja mchana kweupe!
Rais wa awamu hii nayeye atakoselewa vitali sana maamuzi yake na rais wa awamu itakayomfuata

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Viwanda vya Ndani vinalindwa kwa kuchoma moto bidhaa zinazoingizwa toka nje?
Kajifunze protectionalism policy
Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
 
Mama anapenda kumshusha marehemu ili ye aonekane mwema ni tabia mbaya sana.
Mbona hata marehemu ilikuwa ndo tabia yake kuwashusha wenzake waliopita.

Yeye alidiriki kusema waliopita hawajafanya chochote zaidi ya ufisadi na akawataka wakae kimya.

Leo anapimiwa sawa na alivyowapimia wenzake.

Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
 
Walikuwa marehemu?
 
Ili kuweza ku focus vizuri kwa yajayo ni vizuri kurejea na kujifunza yaliyopita.
Africa Kusini baada ya kuhitimisha utawala wa makaburu walianzisha kitu kinaitwa Tume ya Ukweli na Maridhiano na msemo mmojawapo wa watu weusi huko ulikuwa ni tumesamehe ila hatutasahau.
Lengo ni nini?
Kuonekana mwema?
Kwanini asi focus kwa yajayo na achane na ndwele zilizopita.
 
Huna uwezo wa kumpatia mtu yeyote nchi wewe, unajidanganya au umedanganywa hivyo.
 
Naamini Samia amekuja kuikomboa Tanzania ata hiyo katiba mpya tutapata kwenye Muhula wake wapili mama ana mengi moyoni yakutufanyia tumpe mda,
 
Zinasema vifaranga vikikamatwa vichomwe?
Ng'ombe na mbuzi zikikamatwa zinachomwa...!?
Btw hebu leta section ya kifungu cha sheria inayoelezea vitu vya namna hiyo vikikamatwa kimagendo vinafanywaje ili uhitimishe unachotaka kusema!
Hilo sio jukumu langu, kama haujui basi katafute inasemaje lakini sio kushadadia kitu hukijui
 
Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Kulinda si kuchoma bali ni kuzuia au kurudisha huko. Hiyo ilikuwa diplomasia mbaya sana.
 
Kojoa ukalale
 
Mwacheni rais afanye kazi
 
Mtu akikwambia una tabia za kike kwakweli unatakiwa umtoe hata ngeu ni tusi baya sana
 
Hilo sio jukumu langu, kama haujui basi katafute inasemaje lakini sio kushadadia kitu hukijui

Sasa kama siyo jukumu lako then kwa nini uniulize?
Nenda kamwambie Rais ndio aache kushadadia vitu asivyo vijua maana yeye ndiye kasema!
Ungekuwa unajua wewe inasemaje basi wala usingeandika huo urojo wako, kiufupi naona wewe ni mweupe tu huko kichwani mwako!
 
Madikteta wakiongoza kongamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…