OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Zile nondo za Lissu zisijekuwa zimemletea pressure mama yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hajatokea, maana ni aibu mbele ya mkuu wa nchi wadudu wa arusha kupewa airtime kwenye official event ya kitaifa!Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Hataki shobo na Tanganyika Wana mdomo na masimango sana 😁😁Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Sasa Wafanyakazi watayafuata maandamano ya Chadema.....Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Kaamua kuwasusia watanganyika shughuli yenu 😂😂😂😂Zile nondo za Lissu zisijekuwa zimemletea pressure mama yetu
Ujue hamna kitunhapo!Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Atapiga simuHivi ni kweli hayupo sasa nani atatoa ahadi.😎
Anapenda mambo ya mitandao huyo.Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Rais ana mambo mengi,si kujibu vijihoja vya utengano.Labda anajiandaa kuja kuzijibu HOJA za TUNDU Lissu!!
Kapita na 120 may DayRais ana mambo mengi,si kujibu vijihoja vya utengano.
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
Hakuna ushauri mbaya alioukubali kama huu wa kutokwenda kwenye hizi sherehe, bora angefika atoe ahadi za uongo
Itakua alidhani mahudhurio yatakua finyu kama sherehe za juzi ila sio mbele ya Makonda
Binafsi naona huu mkutano ndio angeutumia kurudisha imani kwa wananchi kama wangeona kwa jicho la mbali
Oohoo! Na wewe unaleta stori za Lucas Mwashambwa kwamba mama yenu atakuwepo labour day Arusha muwe munamuuliza kwanzaHata asipofika sio tatizo. Cha msingi Serikali itapandisha mishahara. Stay tuned
Acha kukuza mambo wewe. Serikali ipo hapa wewe hadi umuone rais ndo ujue umuhimu.?Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?