CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Kipara kipya anajua Rais Samia ndie mkuu wa nchi.Kwa hiyo kala kona?
We kipara wee! Yule ni Command in chief hawezi kimbia vita! Acha siku akijitokeza atakuwa kapiga combat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipara kipya anajua Rais Samia ndie mkuu wa nchi.Kwa hiyo kala kona?
We kipara wee! Yule ni Command in chief hawezi kimbia vita! Acha siku akijitokeza atakuwa kapiga combat
Hajakula kona isipokuwa hawamtaki kwa kuwa ni mzanzibar!Kwa hiyo kala kona?
We kipara wee! Yule ni Command in chief hawezi kimbia vita! Acha siku akijitokeza atakuwa kapiga combat
Maza kazinguaaaaaaa!
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
===
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
MAJUKUMU GANI MUHIMU ZAIDI YA MASLAHI YA WANANCHI 🤣Bila shaka ana majukumu mengine muhimu zaidi.
Mkuu ukitoa wafanyakazi, hakuna wananchi wengine?MAJUKUMU GANI MUHIMU ZAIDI YA MASLAHI YA WANANCHI 🤣
Kwa fimbo anazotandikwa unafikiri haumii??Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
===
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
===
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
Na hicho huenda ndio kakikwepa unless ana shida nyingine kama ugonjwa, n.k.Labda ana udhuru..ila nimependa leo hakuna ahadi za mishahara 😂 😂 😂 😂 . Mpaka tusikie yeye kasema
Alikuta jpm ameacha mapesa ndo aliyoyatumia haraka haraka kuonyesha mwezake alikuwa mbahili kumbu uchumi hauko hivyo ...kiko wwpi sasa pumzi imekataHana cha kusema, kaona aingie mitini. Hela za kuongeza mishahara hana.
Mkakati wao umefeli walitaka aende Arusha kwa makonda akawanamge watanganyika, bahati mbaya lisu kachafua Hali ya hewa kablaHili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
===
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
TunamuombeaHili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
===
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake