Rais Samia obviously anadhani uongozi na u - Rais ni kuponda raha na kuswampa huku na kule. She is absolutely wrong..!
Hajui kuwa U - Rais wake it's about people's lives.
By the time atakapong'amua ukweli huu, it would be too late kurekebisha mambo bali itakuwa ni wakati wa HUKUMU YAKE physically & spiritually yeye na wenzake... NIMESEMA MIMI...!!
Acha waponde raha...