Rais Samia: Hakuna kuingia Mikataba pasipo kumshirikisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)

Hii kauli kali sana.
 
Hii kauli kali sana.
....na yenye authority kubwa maana mimi ndivyo nilivyo..

.....acha waponde raha halafu watu wanawaongoza wakiteseka.

....yaani Rais, nchi iko gizani kwa kukosa umeme huku tukiwa tumeishi miaka 6 ya Magufuli tatizo hili likiwa chini ya 10% lakini ghafla tumeingizwa gizani..!!!

Nini hii kama siyo nchi kutokuwa na uongozi kabisa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…