Rais Samia hana exposure

Rais Samia hana exposure

Tunawashauri viongozi watembelee Jamiiforums kupata taarifa kemkem za kinachoendelea pande zote za dunia waachane na kutegemea TBC , Daily News, Uhuru na vyombo vya Habari corporation online.

Mfano wa habari za kimataifa hapa JamiiForums: Donald Trump atembelea Texas, ulipo mpaka wa Marekani na Mexico

30 June 2021
Weslaco, Texas
USA

Donald Trump atembelea Texas, ulipo mpaka wa Marekani na Mexico​

Donald Trump rais wa zamani wa Marekani atembelea border / mpaka huko Weslaco jimbo la Texas na kupewa taarifa ya ongezeko la makosa yanayovuka mpaka (cross border crime). Eneo hilo la jimbo la Texas lipo jirani na Rio Grande (bonde) valley likipakana na nchi jirani ya Mexico na bahari ya Gulf of Mexico . Vyombo vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mpaka wamweleza Donald Trump kuwa changamoto zimeongezeka ktk kipindi cha karibuni.


Former President Donald Trump is in Weslaco, Texas for a Border Security Briefing with state officials and law enforcement.
Source : Global

Huwa wanatembelea sana tu, sema hawataki kuyachukuwa wanayosemwa vibaya... UNAKUMBUKA SAMWEL SITTA ALIPOKUWA ANATOA SABABU ZA KUSHUKA KWA KURA ZA JK KWENYE KIPINDI CHAKE CHA PILI UKILINGANISHA NA CHA KWANZA, alisema sababu moja wapo ni JF
 
Jamani mwacheni mama afanye kazi na CDN subirini wakati wa campaign 2025 ndipo mfanye mikutano ya nje.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 dah aiseeh unasoma michango unabaki huna mbavu...Wakuu punguzeni uzito wa MAKOMBORA
 
Watanzania tunajuana kwa MANENO MENGI kuliko mengine....mama ana exposure akiwa chini ya hayati JPM na huko nyuma....kipindi hiki ameamua KUUPIGA MWINGI.....

Mh.SSH anaweza kuwa bora zaidi ya watangulizi wake.....

Binafsi ninampa muda.....aaaamin🙏

#KaziIendeleeNaRaisSSH
#SerikaliMbiliMilele
#NchiKwanza
 
Samia anadai, na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hskuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.

Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia, anajificha kwenye ujinga ule ule wa mwendazake.

View attachment 1886683
Sucks..
 
Tunaisha na madhila ya uamuzi wa Nyerere kutu hook up na kale kakisiwa.

Nyerere alipokuwa akibanwa maswali kuhusu mantiki za kutuunganisha na Zanzibar alikuwa anaishia kutoa matusi.

Kwa sababu ya Muungano obviously, Magufuli anasema alikuwa na choice mbili, Mwinyi na Samia. Ndio tukaishia na huyu bii Mkubwa.
 
Samia anadai, na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hskuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.

Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia, anajificha kwenye ujinga ule ule wa mwendazake.

View attachment 1886683
Na hayo maneno alikua anayasemaga Sana Mwendazake,amewakaririsha CCM nao wanayarudia kila siku.

Sasa Mwendazake na kujua global issues wapi na wapi.
Lila na fila....!
 
Tunawashauri viongozi watembelee Jamiiforums kupata taarifa kemkem za kinachoendelea pande zote za dunia waachane na kutegemea TBC , Daily News, Uhuru na vyombo vya Habari corporation online.

Mfano wa habari za kimataifa hapa JamiiForums: Donald Trump atembelea Texas, ulipo mpaka wa Marekani na Mexico

30 June 2021
Weslaco, Texas
USA

Donald Trump atembelea Texas, ulipo mpaka wa Marekani na Mexico​

Donald Trump rais wa zamani wa Marekani atembelea border / mpaka huko Weslaco jimbo la Texas na kupewa taarifa ya ongezeko la makosa yanayovuka mpaka (cross border crime). Eneo hilo la jimbo la Texas lipo jirani na Rio Grande (bonde) valley likipakana na nchi jirani ya Mexico na bahari ya Gulf of Mexico . Vyombo vinavyohusika na ulinzi na usalama wa mpaka wamweleza Donald Trump kuwa changamoto zimeongezeka ktk kipindi cha karibuni.


Former President Donald Trump is in Weslaco, Texas for a Border Security Briefing with state officials and law enforcement.
Source : Global

Ingekuwa Tz Trump angefunguliwa kesi ya ugaidi
 
Back
Top Bottom