Rais Samia hana Mbadala Wake wa kuweza kuvaa viatu vyake katika Uchaguzi hapo Mwakani

Mkuu unadhani utafit eneo gani?

Makamu/Waziri Mkuu/Speaker ama Mkuu wa Mkoa/Wilaya?

Kumbuka safu ya Viongozi hao ndiyo tunaipanga wakati huu πŸ€—
Sehemu yeyote ile naweza kufiti na nikafanya vizuri mpaka wetu wakabakia wanabubujikwa na machozi ya furaha utafikiri 🐟
 
Tanzania inaangamia hivihivi kwa watu kukosa maarifa, kweli watu over 60 milion akosekane mbadala? Dah vijana wenzangu tupanue akili na kuwaza kwani kina bila uchawa. JPM mlisema ivi ivi, so imekuwaje tuna raisi?
 
So what??πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ˜…πŸ€£

Atashinda na njaa, kamwe hatashinda uchaguzi
 
Sehemu yeyote ile naweza kufiti na nikafanya vizuri mpaka wetu wakabakia wanabubujikwa na machozi ya furaha utafikiri 🐟
Hahaha...............ngoja tukujaribu Kwa nafasi ya uDAS, tusipobubujikwa na machozi kama ulivyosema ujue ndiyo tunakurudisha Umalila ukalime Viazi tu πŸ€—πŸ™Œ
 
bora nikae kimya maana ningetoa tusi ambalo hujawahi sikia toka umeingia duniani
 
Taka taka tu
 
Tanzania inaangamia hivihivi kwa watu kukosa maarifa, kweli watu over 60 milion akosekane mbadala? Dah vijana wenzangu tupanue akili na kuwaza kwani kina bila uchawa. JPM mlisema ivi ivi, so imekuwaje tuna raisi?
Kwa sasa ni lazima tukubaliane ya kuwa ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan pekee mwenye uwezo wa kuweza kutuvusha hadi 2030.
 

Mbona unatumia nguvu nyingi sana?

Kuna mwingine huko ameandika mambo kumi ambayo Rais Samia amefanya na hayajawahi kufanywa na Rais mwingine yoyote

Na wewe umekuja na hili

Why nguvu ni kubwa sana,

Mnataka kutuambia au kutuaminisha kitu gani ambacho hatukioni?
 
Haiwezekani kabisa zaidi ya watu millioni 60, tukose mtanganyika wa kugombea urais 2025 kwa tiketi ya ccm . Kama ccm mkikosa mbadala , niteueni mimi nigombee kupeperusha bendera ya ccm kuwania urais 2025 . Niwaongoze kwenye nchi ya ahadi .
Kama alikuwa makamu miaka mitanok,akawa Rais Miaka mitano kasoro,time is out.
 
πŸ’©πŸ’©πŸ’©πŸ’©πŸ’©πŸ’©
 
Rais WA kukodi kutoka Nchi jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…