Rais Samia Hana nongwa na mtu ,ni rais mwenye karama ya uongozi,

Rais Samia Hana nongwa na mtu ,ni rais mwenye karama ya uongozi,

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Ndugu zangu rais huyu ukimtazama vizuri kuanzia speech zake na action anazozichukua utagundua kuwa Hana nongwa na mtu, Ila Kuna watu wananongwa na rais.alianza vizuri Sana na hajabadilika ni Yule Yule na Nia yake ni ileile.ya kuwaunganisha watanzania.kutibu majeraha yaliyotokana na mbinyo wa demokrasia na kujaribu kutaka kuifungua Tena demokrasia yetu.hulka ile ile ya viongozi wetu wa kisiasa hawakutaka kumpa muda hata wa miezi miwili ayaweke sawa mafaili yake ajue pakuanzia .ameingia tu hata msiba haujaisha wakaanza vurugu za kudai katiba ,na kuanza kukimbizana huku na kule kuandaa sijui makongamano ya katiba kuandaa mikutano ya hadhara wakati huo bado hata arobaini ya magufuli haijafika ,nchi bado inatafakari na ipo kwenye majonzi wao na mbowe wao wakaanzisha harakati na kelele huku na kule,hata Kama Nia ya rais ilikuwa njema nyinyi mmechangia kuiharibu .tunawaambia Kila siku Kuna vitu havihitaji nguvu nyingi kuvipata ni akili kidogo tu.nina hakika kupitia Samia suluhu hassan katiba mpya itapatikana na tume huru ya uchaguzi itapatikana .lakini mkiendekeza mipasho ,vijembe ,matusi,na ghiliba za kufanya makosa na kuyatumia makosa hayo kwamba ni udhaifu wa rais haikubaliki.sisi tutulie tukiwa na letu tulizungumze kwa kutumia meza ya mazungumzo huku tukiheshimu mamlaka ,narudia Tena Samia suluhu hassan ndiye haswaa taifa lilikuwa linamhitaji ,ni mtu wa aina yake
 
Ndugu zangu rais huyu ukimtazama vizuri kuanzia speech zake na action anazozichukua utagundua kuwa Hana nongwa na mtu, Ila Kuna watu wananongwa na rais.alianza vizuri Sana na hajabadilika ni Yule Yule na Nia yake ni ileile.ya kuwaunganisha watanzania.kutibu majeraha yaliyotokana na mbinyo wa demokrasia na kujaribu kutaka kuifungua Tena demokrasia yetu.hulka ile ile ya viongozi wetu wa kisiasa hawakutaka kumpa muda hata wa miezi miwili ayaweke sawa mafaili yake ajue pakuanzia .ameingia tu hata msiba haujaisha wakaanza vurugu za kudai katiba ,na kuanza kukimbizana huku na kule kuandaa sijui makongamano ya katiba kuandaa mikutano ya hadhara wakati huo bado hata arobaini ya magufuli haijafika ,nchi bado inatafakari na ipo kwenye majonzi wao na mbowe wao wakaanzisha harakati na kelele huku na kule,hata Kama Nia ya rais ilikuwa njema nyinyi mmechangia kuiharibu .tunawaambia Kila siku Kuna vitu havihitaji nguvu nyingi kuvipata ni akili kidogo tu.nina hakika kupitia Samia suluhu hassan katiba mpya itapatikana na tume huru ya uchaguzi itapatikana .lakini mkiendekeza mipasho ,vijembe ,matusi,na ghiliba za kufanya makosa na kuyatumia makosa hayo kwamba ni udhaifu wa rais haikubaliki.sisi tutulie tukiwa na letu tulizungumze kwa kutumia meza ya mazungumzo huku tukiheshimu mamlaka ,narudia Tena Samia suluhu hassan ndiye haswaa taifa lilikuwa linamhitaji ,ni mtu wa aina yake
😍😍
 
Hivi ile kesi ya mchongo aliyobambikiziwa Mbowe, ni nongwa ya kiwango gani kutoka kwa Samia?
 
Ndugu zangu rais huyu ukimtazama vizuri kuanzia speech zake na action anazozichukua utagundua kuwa Hana nongwa na mtu, Ila Kuna watu wananongwa na rais.alianza vizuri Sana na hajabadilika ni Yule Yule na Nia yake ni ileile.ya kuwaunganisha watanzania.kutibu majeraha yaliyotokana na mbinyo wa demokrasia na kujaribu kutaka kuifungua Tena demokrasia yetu.hulka ile ile ya viongozi wetu wa kisiasa hawakutaka kumpa muda hata wa miezi miwili ayaweke sawa mafaili yake ajue pakuanzia .ameingia tu hata msiba haujaisha wakaanza vurugu za kudai katiba ,na kuanza kukimbizana huku na kule kuandaa sijui makongamano ya katiba kuandaa mikutano ya hadhara wakati huo bado hata arobaini ya magufuli haijafika ,nchi bado inatafakari na ipo kwenye majonzi wao na mbowe wao wakaanzisha harakati na kelele huku na kule,hata Kama Nia ya rais ilikuwa njema nyinyi mmechangia kuiharibu .tunawaambia Kila siku Kuna vitu havihitaji nguvu nyingi kuvipata ni akili kidogo tu.nina hakika kupitia Samia suluhu hassan katiba mpya itapatikana na tume huru ya uchaguzi itapatikana .lakini mkiendekeza mipasho ,vijembe ,matusi,na ghiliba za kufanya makosa na kuyatumia makosa hayo kwamba ni udhaifu wa rais haikubaliki.sisi tutulie tukiwa na letu tulizungumze kwa kutumia meza ya mazungumzo huku tukiheshimu mamlaka ,narudia Tena Samia suluhu hassan ndiye haswaa taifa lilikuwa linamhitaji ,ni mtu wa aina yake
Hujaandika kitu kipya, bali umeandika yale yale yanayoandikwa na kila wapambe wa marais. Wakati wa Magufuli wapambe wake nao walikuwa wanasema ndio rais nchi iliyomuhitaji. Katiba mpya ilikuwa inadaiwa kwa mujibu wa sheria, au mkifiwa sheria zinakoma kufanya kazi? Kwani hao waliokuwa wanaendelea na makongamano yao ya kudai katiba mpya walikuwa wanamzuia rais kuingia ofisini? Sisi hatuhitaji katiba mpya kwa hisani ya rais maana ni haki yetu, nyie mnao subiri hisani ya rais ndio mnaona shida sisi kudai katiba mpya.
 
Hakuna Siku ccm itakubali tume huru kwa mazungumzo tuu... HAKUNA!!!
 
Back
Top Bottom