Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Kiufupi hotuba yake yote CIA wamelamba na kuiweka kwa meza ya majasusi kwa kumjibu bila maneno hapo ndio ataongea kimakunduchi bila majibu... JK 😜 ako wapi ushauri
Nakubaliana nawe Mkuu na hili ndilo Naliogopa mno.
 
Nimefurahia sana hiyo kauli ya rais inatakiwa awaamshie hao wamarekani mbaya kabisa tena awaambie hatutaki misaada yao wao na umoja wa ulaya.

Sisi ndio sisi hatuogopi tupo jemadari wetu toka kizimkazi
Yaani mnawachukia Wazungu (Wamarekani) wakati Kutwa mnahaha Ubalozini kutaka kwenda Kwao kubeba Maboksi huwa mkiwa mnatumia Electronics Gadgets zilizotengenezwa nao. Halafu nikisema kuwa Waafrika (hapa wa Kwetu) hatuna Akili mnasema nawadhalilisha. Nitajie Kitu ambacho Wewe Mtanzania umekitengeneza na kina Demand sana Kwao (Wamarekani) kiasi kwamba nao Wakuogope / Watuogope.
 
Yaani mnawachukia Wazungu (Wamarekani) wakati Kutwa mnahaha Ubalozini kutaka kwenda Kwao kubeba Maboksi huwa mkiwa mnatumia Electronics Gadgets zilizotengenezwa nao. Halafu nikisema kuwa Waafrika (hapa wa Kwetu) hatuna Akili mnasema nawadhalilisha. Nitajie Kitu ambacho Wewe Mtanzania umekitengeneza na kina Demand sana Kwao (Wamarekani) kiasi kwamba nao Wakuogope / Watuogope.
Muulize bi kizimkazi na wapambe wake wale walioiandaa lie hotuba ya jana ya kuichamba marekani.

Maana ata Sadam Hussein na mpambe wake Tarrik Aziz kabla ya kutolewa madarakani alikuwa na michambo Kama ya bi. Kizimkazi
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Ana wa beep? Ngoja waachie ushahidi ambao unaweza kumfanya akose pa kuchificha kwa aibu!
 
Wazungu!! Mkuu tulia. Kama ulipanga kushiriki maandamano fanya mambo yako. Hii ni nchi na ina Serikali yenye Mamlaka Kamili. Sio Serikali ya Samaki!!! Fanya mambo yako, Jenga taifa, shuhulikia familia yako, kama unayo. Samia ndiye Rais wa nchi hii kwa sasa.
Ukiona unahitaji kukumbusha watu kuwa wewe ni Rais wa nchi ujue kuna mushikeli, tafakari.

Kuna mtu ambaye hajui Rais wa Tz ni Samia?
 
Alisema pia ana njia za kuwasiliana na mamlaka za uteuzi za mabalozi husika,akajua kuwa hawana baraka hizo
Mabalozi hawana baraka za kukemea mauaji na kutaka uchunguzi huru? Inahitajika baraka gani kukemea na kulinda uhai wa binadamu?

Ninyi huwa mmechanganyikiwa? au ndio damu za watu zinawatafuna!
 
Mabalozi hawana baraka za kukemea mauaji na kutaka uchunguzi huru? Inahitajika baraka gani kukemea na kulinda uhai wa binadamu?

Ninyi huwa mmechanganyikiwa? au ndio damu za watu zinawatafuna!
Hayakua maelekezo ya waliowateua,ni ushoga wao na sugu/upinzani ndiyo umeoandisha nyege na kutoa tamko, marekani kila siku watu huuawa, uingereza kuchomwa visu, ubalozi wa tanzania ulitoa tamko?
 
Hayakua maelekezo ya waliowateua,ni ushoga wao na sugu/upinzani ndiyo umeoandisha nyege na kutoa tamko, marekani kila siku watu huuawa, uingereza kuchomwa visu, ubalozi wa tanzania ulitoa tamko?
Umeme mdogo mno kichwani! Binadamu anahitaji baraka za nani kukemea mauaji ya binadamu mwenzie?

Ubalozi wa Tz utatoaje tamko wakati kwaninyi wa Tz kifo ni kitu cha kawaida na kifo ni kifo tu? Mnashindana vifo?
 
Huna Akili.
Asante, mkuu. Nisaidie jambo moja. Mwafrica naturally ana thamani na heshima yoyote kwa mtu mweupe yeyote kuanzia mchina, mwarabu , mzungu hata Mhindi ? Kutetea mauaji ni kukosa utu, na uhai wetu. Sijatetea. Na reply yangu ya kwanza kabisa nililaani. Lakini sioni uchungu wala upendo wa ngozi nyeupe kwa mwafrica. Tatizo letu weusi hatuna hisia za kuhurumiana kama weupe.
 
Kwanza hata sijakaelewa kabisa namna kalivyokuwa kanaongea,eti kwa kofia ya amri jeshi mkuu sjui utopolo nn nin huko,sijui kufa watu kwa kutekwa ni kawaida yaan hotuba ya kijinga kabisa

Eti hatujawah kuwafundsha wao namna ya kuongoza kwann watuseme sisi wakat nchi zao zinamauaji pia,kameshasahau pia kwamba huwa kanaenda kuomba omba huko kwa wakubwa kukopa lakin wao hawajawah kuja kukopa hapa
Raisi wa kike mjinga kuwahi kutokea duniani anapatikana nchi ya akina kinyere
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Ni Kurjuan hiyo
 
Back
Top Bottom