Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Daah kazi ipo haya mambo ukiyasikia yanaumiza wacha tukae kimya tuendelee kupata maumivu na shilingi inavyoporomoka itafika mbali sana kuipata Usd moja..
Tunatangaza utalii kwa gharama kubwa na tunategemea wageni watoke huko harafu tunatoa kauli ambazo ni Tata kwao kazi tunayo aisee..
 
Whether yuko sahihi au hayuko sahihi, Rais wa Nchi anatakiwa kuzungumza yale anayoyaamini hadharani. Na ndiyo maana SSH ni Rais wa JMT.

Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hasemi anayoyaamini wala kuonesha msimamo wake wazi juu ya yale anayoyaamini kwenye kuongoza nchi yake. JPM allifanya, BWM alifanya, JK alifanya na wengine. Kwa kuzungumza leo amefanya jambo la maana japo wahafidhina na wapinzani wake watamkosoa kwenye yale aliyosema lakini muhimu amesema na hakuna mtu angemsaidia kusema.

That is the President we need.
Nadhani Kiongozi anasalimisha matakwa yake ndani ya Matakwa ya umma ndio Katiba. Mambo mengi binafsi anaweza kuamini lakini yakashindwa na nguvu ya Matakwa ya umma.
 
Daah kazi ipo haya mambo ukiyasikia yanaumiza wacha tukae kimya tuendelee kupata maumivu na shilingi inavyoporomoka itafika mbali sana kuipata Usd moja..
Tunatangaza utalii kwa gharama kubwa na tunategemea wageni watoke huko harafu tunatoa kauli ambazo ni Tata kwao kazi tunayo aisee..
Ukimsoma vizuri huyu mama Urais anaupenda sana.

Haya yote ni slogan ya Samia must go.

Watanzania bila katiba ya wananchi ni kazi bure kabisa.

Halafu cha kusikitisha ni Watanganyika ndio madalali wa huyu Mkojani ambaye sasa hivi anatukomesha, zikitoka ajira ni pasu kwa pasu, ila zikitoka Zanzibar sifa lazima uwe Mzanzibar.

Tembelea TRA sasa hivi utaamini maneno yangu wamejazwa vijana Kizanzibar.

Issue ilivyo ni zaidi ya siasa za ccm na Chadema, ni revenge ya Wazanzibar kupitia kwa Samia lazima Zanzibar kwa miaka michache ijayo, kaka anampigia dada simu, dada anarekebisha, Mitanganyika inachonganishwa yenyewe iuwane.

Mitanganyika haijiulizi mbona Wazanzibar sasa hivi wanaishi pamoja peaceful?
 
Daah kazi ipo haya mambo ukiyasikia yanaumiza wacha tukae kimya tuendelee kupata maumivu na shilingi inavyoporomoka itafika mbali sana kuipata Usd moja..
Tunatangaza utalii kwa gharama kubwa na tunategemea wageni watoke huko harafu tunatoa kauli ambazo ni Tata kwao kazi tunayo aisee..
Hata filamu ya kuhamasisha watalii kuja kuitembelea nchi hii alienda kuigiza huko huko kwa hawa watu anaowasema vibaya. Watanzania wenzangu tuzinduke, nchi unakwenda mrama, hawa Watu sisi tunawahitaji zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji sisi.
Ukweli mchungu ni kwamba, Tanzania kamwe haiwezi kusonga mbele kimaendeleo bila ya misaada kutoka kwa mabeberu,
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Hivi watu wote sisi 71 tulio like hii post ya GENTAMYCINE tutatekwa tuuwawe?
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Inajitegemea kwa utajiri upi..?
 
Nadhani Kiongozi anasalimisha matakwa yake ndani ya Matakwa ya umma ndio Katiba. Mambo mengi binafsi anaweza kuamini lakini yakashindwa na nguvu ya Matakwa ya umma.
uko sahihi sana Mkuu,

Lakini nadhani moja ya jambo alilolisema na ambalo limekuwa mada kwenye uzi huu ni yeye kusema vile alivyosema kuhusu maagizo ya baadhi ya mabalozi. Kimsingi katiba yetu imesema sisi ni nchi huru, Rais amekuwa mkali kwelikweli juu ya baadhi ya mabalozi kufikiri wanaweza kutuelekeza cha kufanya kama nchi. Imani hii akiisema kwa wananchi wengi wa chini inampa 'edge'. Watu walitamani wasikie Rais anayejiamini against mabeberu na it came at a right time. Ieleweke Rais hakatai wao kulaani "bali kuelekeza nini cha kufanya" na pengine wamefanya in public na in private pia (hili hatujui wamesema nini).

Sasa swali langu kwa baadhi ya wakosoaji wake, kama kauli tu hii ya Rais tena kuhusu mabeberu wao wanapata 'hofu' na uoga unadhani itakuwa ni rahisi wao kuingia barabarani?
 
Huyo mama nina uhakika hajui sabotage anayofanyiwa kuanzia kwenye vyombo vya dola mpaka anayemuandikia speech.

Kuna mtu nilibishana naye sana aliponiambia huyo mama 2025 hawezi kugombea kuna mgombea mwingine sikuamini sasa ndio nimeanza kuelewa chase inavyochezwa.

Halafu Kassim Majaliwa mapema ameshatangaza anagombea ubunge kwao.

Ni muda wa kuliombea Taifa, kuna giza nene limetanda.
Kila nikikumbuka ile kauli kuwa mgombea wa CCM 2025 ni Samia labda hapa katikati mambo yaharibike sana naona kabisa mambo yameshaharibika sana na yataharibika sana, na pia ile kauli yake mwenyewe kuwa aliwahi kuonywa kuwa adui yako siyo wapinzani bali ni wa shati la kijani mwenzako ni dhahiri ajali ya kisiasa imeshaandaliwa.
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
mama anataka watu kukaa kimya wakati watu wanazidi kupotea na kuuawa hadharani?
Kwanini yeye hakuwahi kukemea haya mapema na badala yake anakemea wanaokemea?
Au anafikiri watawala wanayo mamlaka ya kupoteza na kuumiza watu watakavyo?
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo yupo usiku na mchana
 
mama anataka watu kukaa kimya wakati watu wanazidi kupotea na kuuawa hadharani?
Kwanini yeye hakuwahi kukemea haya mapema na badala yake anakemea wanaokemea?
Au anafikiri watawala wanayo mamlaka ya kupoteza na kuumiza watu watakavyo?
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo yupo usiku na mchana
Amina / Amen Mkuu.
 
Back
Top Bottom