Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Kiufupi hotuba yake yote CIA wamelamba na kuiweka kwa meza ya majasusi kwa kumjibu bila maneno hapo ndio ataongea kimakunduchi bila majibu... JK 😜 ako wapi ushauri
Nakubaliana nawe Mkuu na hili ndilo Naliogopa mno.
 
Nimefurahia sana hiyo kauli ya rais inatakiwa awaamshie hao wamarekani mbaya kabisa tena awaambie hatutaki misaada yao wao na umoja wa ulaya.

Sisi ndio sisi hatuogopi tupo jemadari wetu toka kizimkazi
Yaani mnawachukia Wazungu (Wamarekani) wakati Kutwa mnahaha Ubalozini kutaka kwenda Kwao kubeba Maboksi huwa mkiwa mnatumia Electronics Gadgets zilizotengenezwa nao. Halafu nikisema kuwa Waafrika (hapa wa Kwetu) hatuna Akili mnasema nawadhalilisha. Nitajie Kitu ambacho Wewe Mtanzania umekitengeneza na kina Demand sana Kwao (Wamarekani) kiasi kwamba nao Wakuogope / Watuogope.
 
Muulize bi kizimkazi na wapambe wake wale walioiandaa lie hotuba ya jana ya kuichamba marekani.

Maana ata Sadam Hussein na mpambe wake Tarrik Aziz kabla ya kutolewa madarakani alikuwa na michambo Kama ya bi. Kizimkazi
 
Ana wa beep? Ngoja waachie ushahidi ambao unaweza kumfanya akose pa kuchificha kwa aibu!
 
Ukiona unahitaji kukumbusha watu kuwa wewe ni Rais wa nchi ujue kuna mushikeli, tafakari.

Kuna mtu ambaye hajui Rais wa Tz ni Samia?
 
Alisema pia ana njia za kuwasiliana na mamlaka za uteuzi za mabalozi husika,akajua kuwa hawana baraka hizo
Mabalozi hawana baraka za kukemea mauaji na kutaka uchunguzi huru? Inahitajika baraka gani kukemea na kulinda uhai wa binadamu?

Ninyi huwa mmechanganyikiwa? au ndio damu za watu zinawatafuna!
 
Mabalozi hawana baraka za kukemea mauaji na kutaka uchunguzi huru? Inahitajika baraka gani kukemea na kulinda uhai wa binadamu?

Ninyi huwa mmechanganyikiwa? au ndio damu za watu zinawatafuna!
Hayakua maelekezo ya waliowateua,ni ushoga wao na sugu/upinzani ndiyo umeoandisha nyege na kutoa tamko, marekani kila siku watu huuawa, uingereza kuchomwa visu, ubalozi wa tanzania ulitoa tamko?
 
Hayakua maelekezo ya waliowateua,ni ushoga wao na sugu/upinzani ndiyo umeoandisha nyege na kutoa tamko, marekani kila siku watu huuawa, uingereza kuchomwa visu, ubalozi wa tanzania ulitoa tamko?
Umeme mdogo mno kichwani! Binadamu anahitaji baraka za nani kukemea mauaji ya binadamu mwenzie?

Ubalozi wa Tz utatoaje tamko wakati kwaninyi wa Tz kifo ni kitu cha kawaida na kifo ni kifo tu? Mnashindana vifo?
 
Huna Akili.
Asante, mkuu. Nisaidie jambo moja. Mwafrica naturally ana thamani na heshima yoyote kwa mtu mweupe yeyote kuanzia mchina, mwarabu , mzungu hata Mhindi ? Kutetea mauaji ni kukosa utu, na uhai wetu. Sijatetea. Na reply yangu ya kwanza kabisa nililaani. Lakini sioni uchungu wala upendo wa ngozi nyeupe kwa mwafrica. Tatizo letu weusi hatuna hisia za kuhurumiana kama weupe.
 
Raisi wa kike mjinga kuwahi kutokea duniani anapatikana nchi ya akina kinyere
 
Ni Kurjuan hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…