Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Mabeberu muda wao umekwisha,ndiyo maana unaona hata kule West Africa wafaransa wanafukuzwa!!
 
Niambie wwe lini maisha yalikua raisi kwa kila mtanzania!? Kila utawala ukija kuna wengine watacheka na kuna wengine watalia,na kuna wengine watabaki kati kwa kati, kwenye kulia hawapo na kwenye kucheka hawapo pia!!
 
Tatizo elimu,elimu elimu eilimu.
 
😂😂 Rais Samia anaenda kuwachongea mabalozi wa Marekani,Canada na Umoja wa Ulaya kwa Marais wao watumbuliwe.🤣🤣
Aliyemuandika hii hotuba "labda" kavuta sigara kubwa.
 
Ujumbe gani kwamba samia apigiwe simu na joe biden juu ya utekaji 😀😀😀😀 hapa mama sijui aliwazaje wazaje hapa
Ndio kwani waliojisemesha na kutoa matamko mkidai ni misimamo ya Marais wao Kwa nini hawakupiga simu?

Mbona Huwa wanapiga? Mwisho watachagua kati ya maslahi ya kiuchumi au kusimama na vibaraka wao ambapo hamtapewa nafasi
 
Uzuri mzungu ana huruma, hawezi kata misaada kisa hiyo kauli moja tu.
Na wanajua maza hana mshipa wa kubishana nao.

Labda hata hilo alilosema lina baraka zao.
 
Wana kausemi kao pendwa kuwaelekeza raia wao waliopo na wanao tarajia kuja nchini ambako ni "Safety alert", yaani kuchukua tahadhari za kiusalama
 
Sure..hotuba ilikuwa chini ya KIWANGO
 
Wawekezaji na wanasiasa wapi na wapi na lini uliongea na mwekezaji hata mmoja alikwambia kwamba kaanza kuogopa?
 
Toka ujiunge jf ni mara yangu ya kwanza kukuona umeanzisha Uzi ukiwa short and clear kabisa
 
Huyo mama nina uhakika hajui sabotage anayofanyiwa kuanzia kwenye vyombo vya dola mpaka anayemuandikia speech.

Kuna mtu nilibishana naye sana aliponiambia huyo mama 2025 hawezi kugombea kuna mgombea mwingine sikuamini sasa ndio nimeanza kuelewa chase inavyochezwa.

Halafu Kassim Majaliwa mapema ameshatangaza anagombea ubunge kwao.

Ni muda wa kuliombea Taifa, kuna giza nene limetanda.
 
Yeye anafikiri anavyofanya kazi sawa na mataifa mengine. Yaani umpigie simu Rais y ku-check kama alimtuma balozi x wa nchi yake, sidhani kama ni sahihi!
Balozi anawakilisha Taifa lake, kauli ya balozi ndio kauli ya nchi na siyo kauli tu ni official statement.

Huyu mama level yake labda ni Urais wa Zanzibar, Watanganyika tupunguze uchawa kisa mtu yupo kwenye system tumbo lake linashiba, huyu ni Rais wa mpito amalize muda wake akae pembeni hili jahazi ni over size kwake.

Tuache uchawa tusimame kwa maslahi ya Taifa, hata kama Rais atoke ccm lakini siyo huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…