Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina mwenyewe na sote tunapita,ila hamuwezi kuchekewa mkichezea amani ya nchi kwa tamaa zenu za madarakaMagu yuko wapi, huu dunia haina mwenyewe
Ujumbe gani kwamba samia apigiwe simu na joe biden juu ya utekaji 😀😀😀😀 hapa mama sijui aliwazaje wazaje hapaUjumbe wameupata tena mweupeeeee , mengine endeleeni kufanya Uchambuzi 😀😀😀
Yaani huyu mama bana, kwahiyo yeye anaamini hao Marais wa nchi za magharibi wanamuona yeye wa maana kuliko hao mabalozi wao?! Kwahaya mauji ya kitoto ya vyombo vya dola, anategemea marais wa hizo nchi wampigie yeye simu?
Halafu unaweza kukuta hao mapolisi wanaamini marais wa hizo nchi wakitaka kujua habari za hapa nchini wanampigia yeye k
Hebu tujibu hili. Vifo kwa Malaki ya watu na matatizo ya Kongo, Sudan, Libya, West Africa nk hawa weupe tunaowatetea wanahusika au wanasingiziwa ? Sasa kama upande mmoja wa Africa wamehusika kuuwa Malaki ya weusi wenzetu ili wapore mali zetu je, matamshi yao kwamba tunatekwa ni ya dhati ? Yeyote asiyetenda haki hafai. Awe mweupe au mweusi.Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Hayo yanahalalisha huu utekaji na muaji ya vyombo vya dola kwa wapinzani?Hebu tujibu hili. Vifo kwa Malaki ya watu na matatizo ya Kongo, Sudan, Libya, West Africa nk hawa weupe tunaowatetea wanahusika au wanasingiziwa ? Sasa kama upande mmoja wa Africa wamehusika kuuwa Malaki ya weusi wenzetu ili wapore mali zetu je, matamshi yao kwamba tunatekwa ni ya dhati ? Yeyote asiyetenda haki hafai. Awe mweupe au mweusi.
Hayo yanahalalisha huu utekaji na muaji ya vyombo vya dola kwa wapi
Hapana mkuu.Hayo yanahalalisha huu utekaji na muaji ya vyombo vya dola kwa wapinzani?
Hayo yanahalalisha huu utekaji na muaji ya vyombo vya dola kwa wapi
Chura kayatimba bakuli lake atalikimbizia Arabuni kwa Wajomba😝😝😝Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
😝😝 MabaibuiHahhahahh anataka apigiwe simu na Biden au yule PM wa UK au PUTIN ndio aamini.
Dhihaka hii. Taasisi ya Urais haina jinsia. Kilichotokea leo hata Dkt Magufuli alikuwa anafanya makosa hayo hayo. Unapo dili na nchi za nje unapaswa kuwa kama kobe zaidi ili wasijue mbinu zako, ukijiachia ndiyo hayo ya Patrick Lumumba ya kumtukana mfalme wa ubeligiji na kuishia kuyeyushwa kwenye acidi na wakongoman wenzakeMama ana uwezo mdogo huyu Leo nimethibitisha aise
Tena kanya mavi mengi sana 💩Huyu sindbad atakuwa na wakati mgumu sijui USIND ataufanyia wapi maana keshanyea kambi
Leo nilitegemea angekuja na hotuba ya kuwapooza na kuwaunganisha watanzania matokeo yake vituko vitupuDhihaka hii. Taasisi ya Urais haina jinsia. Kilichotokea leo hata Dkt Magufuli alikuwa anafanya makosa hayo hayo. Unapo dili na nchi za nje unapaswa kuwa kama kobe zaidi ili wasijue mbinu zako, ukijiachia ndiyo hayo ya Patrick Lumumba ya kumtukana mfalme wa ubeligiji na kuishia kuyeyushwa kwenye acidi na wakongoman wenzake
Kuwa na adabu wewe!! Bwawa umeliacha katikati ya mapaja ya mkeo unakoegelea na kuzama hadi kichwa. Nyoko sana wew. Hotuba ya Amiri Jeshi Mkuu imekutoweni kwenye mstari mmekaa kaa vipanya vilivyonyeshewa na mvua.
Hata magu alidhamiria kutawala leo yupo wapimPaka 2030,awamu zake mbili zitakapoisha
Hatuna uwezo wa kumtoa maana asilimia 70 ya waliochini yake ni machawa,wanawaza kuongeza wigo wa kula asali
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu