Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Yaani huyu mama bana, kwahiyo yeye anaamini hao Marais wa nchi za magharibi wanamuona yeye wa maana kuliko hao mabalozi wao?! Kwahaya mauji ya kitoto ya vyombo vya dola, anategemea marais wa hizo nchi wampigie yeye simu?

Halafu unaweza kukuta hao mapolisi wanaamini marais wa hizo nchi wakitaka kujua habari za hapa nchini wanampigia yeye k

Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Hebu tujibu hili. Vifo kwa Malaki ya watu na matatizo ya Kongo, Sudan, Libya, West Africa nk hawa weupe tunaowatetea wanahusika au wanasingiziwa ? Sasa kama upande mmoja wa Africa wamehusika kuuwa Malaki ya weusi wenzetu ili wapore mali zetu je, matamshi yao kwamba tunatekwa ni ya dhati ? Yeyote asiyetenda haki hafai. Awe mweupe au mweusi.
 
Hebu tujibu hili. Vifo kwa Malaki ya watu na matatizo ya Kongo, Sudan, Libya, West Africa nk hawa weupe tunaowatetea wanahusika au wanasingiziwa ? Sasa kama upande mmoja wa Africa wamehusika kuuwa Malaki ya weusi wenzetu ili wapore mali zetu je, matamshi yao kwamba tunatekwa ni ya dhati ? Yeyote asiyetenda haki hafai. Awe mweupe au mweusi.
Hayo yanahalalisha huu utekaji na muaji ya vyombo vya dola kwa wapinzani?
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Chura kayatimba bakuli lake atalikimbizia Arabuni kwa Wajomba😝😝😝
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
 

Attachments

  • 20240917_231131.jpg
    20240917_231131.jpg
    72.2 KB · Views: 1
Unajua mkuu hawa viongozi hawajui uchungu wa kumpoteza family member! Siku Samia akipata taarifa kuwa Wanu Hafidh Ameir ametekwa na mwili wake umeokotwa Mabatini Mwanza ndo atajua hii kitu ni serious! Au Tulia akipata taarifa kuwa Michael ametekwa na mwili wake umeokotwa Ilula hapo nadhani hawatasubiria tena vifungu wala miongozo.
 
Mama ana uwezo mdogo huyu Leo nimethibitisha aise
Dhihaka hii. Taasisi ya Urais haina jinsia. Kilichotokea leo hata Dkt Magufuli alikuwa anafanya makosa hayo hayo. Unapo dili na nchi za nje unapaswa kuwa kama kobe zaidi ili wasijue mbinu zako, ukijiachia ndiyo hayo ya Patrick Lumumba ya kumtukana mfalme wa ubeligiji na kuishia kuyeyushwa kwenye acidi na wakongoman wenzake
 
Dhihaka hii. Taasisi ya Urais haina jinsia. Kilichotokea leo hata Dkt Magufuli alikuwa anafanya makosa hayo hayo. Unapo dili na nchi za nje unapaswa kuwa kama kobe zaidi ili wasijue mbinu zako, ukijiachia ndiyo hayo ya Patrick Lumumba ya kumtukana mfalme wa ubeligiji na kuishia kuyeyushwa kwenye acidi na wakongoman wenzake
Leo nilitegemea angekuja na hotuba ya kuwapooza na kuwaunganisha watanzania matokeo yake vituko vitupu
 
Kuwa na adabu wewe!! Bwawa umeliacha katikati ya mapaja ya mkeo unakoegelea na kuzama hadi kichwa. Nyoko sana wew. Hotuba ya Amiri Jeshi Mkuu imekutoweni kwenye mstari mmekaa kaa vipanya vilivyonyeshewa na mvua.

mPaka 2030,awamu zake mbili zitakapoisha

Hatuna uwezo wa kumtoa maana asilimia 70 ya waliochini yake ni machawa,wanawaza kuongeza wigo wa kula asali
Hata magu alidhamiria kutawala leo yupo wapi
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Tatizo la Wanawake wa Pwani, hata maneno ya kanga au kicheko tayari lazima atafute namna ya kujibu.
 
UJINGA PEKEE NDIO UNATHAMANI KULIKO DAMU...
downloadfile.jpg
✍️
 
Back
Top Bottom