Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Leo ndio amenikosha kwa furaha. Hatuwezi kuwa taifa la watu wakujikomba. Akina chief Mangingo endeleeni kulamba miguu. Leo laongea kama Rais wa nchi. Japo yapo siyaelewi ya rasilimali za nchi
Unajidanganya bure, kumbuka: hata ndege anayotumia kusafiria kwenda katika nchi mbalimbali imetengenezwa na hao hao anaowasema. Watch out!

Where is Iranian President Raisi?
Where is Vice President of Malawi Saulos Chilima?!?

Usipende kushindana na mabeberu, wana mbinu nyingi Sana.
 
Usimjaze upepo bure, atahujumiwa. Wazungu Wana mbinu nyingi Sana. Usiwachezee.

Waingereza kwenye kuwadhibiti watu kama hao huwa Wana msemo wao kwamba "There is more than one way of skining a cat."
Wazungu!! Mkuu tulia. Kama ulipanga kushiriki maandamano fanya mambo yako. Hii ni nchi na ina Serikali yenye Mamlaka Kamili. Sio Serikali ya Samaki!!! Fanya mambo yako, Jenga taifa, shuhulikia familia yako, kama unayo. Samia ndiye Rais wa nchi hii kwa sasa.
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Unapoteza muda wako bure kushauri au kuelimisha mpumbavu.
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Alionywa mapema kabisa kuwa "adui yako siyo wapinzani bali ni mvaa shati la kijani mwenzako". Leo hii anawatolea povu wapinzani na nchi wahisani wakati hiyo michezo anachezewa na wateule wake mwenyewe wanamtisha na ametishika hadi anapanic na kutoa speech ya kukurupuka,wenyewe wanachekea tumboni kuwa ameshajaa kwenye mfumo wao na watamchezesha singeli hadi kiti atakuona kichungu hicho. Hivi kweli Chadema wana ubavu gani wa kumuondoa madarakani? Naona aibu mimi Rais kuogopeshwa naye akaogopa.
 
Wazungu!! Mkuu tulia. Kama ulipanga kushiriki maandamano fanya mambo yako. Hii ni nchi na ina Serikali yenye Mamlaka Kamili. Sio Serikali ya Samaki!!! Fanya mambo yako, Jenga taifa, shuhulikia familia yako, kama unayo. Samia ndiye Rais wa nchi hii kwa sasa.
Mimi sizungumzii kuhusu maandamano, bali nazungumzia kuhusu uhalisia wa mambo jinsi yalivyo.
Kumbuka: hata ndege anayotumia huyo mtu kusafiria kwenda katika nchi mbalimbali imetengenezwa na hao hao Watu anaowasema. Watch out!

Where is Iranian President Raisi?
Where is Vice President of Malawi Saulos Chilima?!?

Usipende kushindana na mabeberu, wana mbinu nyingi Sana.
 
Huyo mama anajua atakaa madarakani milele ,siku atakayoondoka akiwa hai au mfu watu watashangilia sana maana maisha yamekua magumu sana kwakweli na wanufaika wachache.

NB:Samia amewaangusha wanawake wote nchini na sidhani baada yake kama kuna mwanamke atapewa sapoti, Mabeyo uko alipo anang'ata meno kwa uchungu😁😁😁
 
GENTAMYCINE Dkt Samia sijui kimempata kitu gani. Mi nilitegemea angekaa tu kimya maana wenzetu kila kauli wanaenda field kama ilivyo kwa TISS yetu Mh. Mbowe au Mh. Lisu akitoa kauli, yaani wanaenda chimbo kama la TISS kwa wapinzani then tofauti na TISS wetu wanakuwa na mkakati wa wiki au mwezi wao wanakuja na mkakati wa kizazi, na vizazi. Nadhani kweli washauri wake wamekosea sana. Kingine mpaka sasa Dkt Samia yupo kikaangoni kwa kuegemea kwa waarabu na China maana yake tupo vitani mpaka now na hayo mataifa ya Magharibi in addition na vita tuliyonayo ya dharula ya kifo cha rais aliyekuwa madarakani Dkt Magufuli. Nadhani zile 4R zake angeendelea nazo kimya kimya bila kuleta taharuki na huku mengine akishaghulikia kimya kimya. Kauli tata ni mbaya sana kwa wenzetu wa magharibi kwa sababu maisha yao bila Africa ni magumu sana
Nakumbuka hatukuwa na mwalimu wa kiswahili form one alikuja wakati tuko form two alitufundisha alomofu,mofimu na kuhusu tungo tata, napenda sana kuongea tungo tata na lugha kificho, (silent language), a.k.a codes
 
Whether yuko sahihi au hayuko sahihi, Rais wa Nchi anatakiwa kuzungumza yale anayoyaamini hadharani. Na ndiyo maana SSH ni Rais wa JMT.

Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hasemi anayoyaamini wala kuonesha msimamo wake wazi juu ya yale anayoyaamini kwenye kuongoza nchi yake. JPM allifanya, BWM alifanya, JK alifanya na wengine. Kwa kuzungumza leo amefanya jambo la maana japo wahafidhina na wapinzani wake watamkosoa kwenye yale aliyosema lakini muhimu amesema na hakuna mtu angemsaidia kusema.

That is the President we need.
Mjazeni ujinga tu
 
GENTAMYCINE Dkt Samia sijui kimempata kitu gani. Mi nilitegemea angekaa tu kimya maana wenzetu kila kauli wanaenda field kama ilivyo kwa TISS yetu Mh. Mbowe au Mh. Lisu akitoa kauli, yaani wanaenda chimbo kama la TISS kwa wapinzani then tofauti na TISS wetu wanakuwa na mkakati wa wiki au mwezi wao wanakuja na mkakati wa kizazi, na vizazi. Nadhani kweli washauri wake wamekosea sana. Kingine mpaka sasa Dkt Samia yupo kikaangoni kwa kuegemea kwa waarabu na China maana yake tupo vitani mpaka now na hayo mataifa ya Magharibi in addition na vita tuliyonayo ya dharula ya kifo cha rais aliyekuwa madarakani Dkt Magufuli. Nadhani zile 4R zake angeendelea nazo kimya kimya bila kuleta taharuki na huku mengine akishaghulikia kimya kimya. Kauli tata ni mbaya sana kwa wenzetu wa magharibi kwa sababu maisha yao bila Africa ni magumu sana
Kifupi ameyatimba.
 
Mimi sizungumzii kuhusu maandamano, bali nazungumzia kuhusu uhalisia wa mambo jinsi yalivyo.
Kumbuka: hata ndege anayotumia huyo mtu kusafiria kwenda katika nchi mbalimbali imetengenezwa na hao hao Watu anaowasema. Watch out!

Where is Iranian President Raisi?
Where is Vice President of Malawi Saulos Chilima?!?

Usipende kushindana na mabeberu, wana mbinu nyingi Sana.
Rais hawezi kuwa neutral mzee. Hilo ukilielewa hata hutapata stress. Consequence ya hiki alichokiongea utaona hata mabalozi walioguswa muda si mrefu wataondoshwa na nchi zao. Wazungu pia sio wajinga kihivyo kama unavyofikiri.

Mark my words time will tell. Kabla ya uchaguzi kuna mabalozi hawatakuwepo hapa ndani.
 
Mama anatakiwa kujua this country sio ya kuuana ni nchi ya sheria na katiba ndo miongozo yake. We are not chinesse we are not cuban we are not Venezuelan we are not Russians we are not north koreans we are not syrians akumbule hilo hii nchi ya democracy why kabisa intelejinsia yake inamwambia watu wamekaa huko kwenye vijiwe vya kahawa wanataka kupindua nchi na kabisa mtu anamwandia hotuba ya kitoto na yeye anaenda present hapo kuna watu wengine wana master na degree kabisa hata yeye mwenyewe ana degree kabisa ameshindwa hata kuchambua iyo hotuba na kuruka vya kuongea na vingine kutokuongea come on umezungukwa na viumbe sugu , wanaokulisha ujinga ,please wakatae wengine wanakusifia they just want their bread not decaying waendelee kura kua nao makini ila km umeamua uwe kiziwi haya kumbuka watanzania tuna thamani kubwa kuliko hao walikoo kaa wamevaa miwani meusi wanapanda gari za cc3600.
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Alisema pia ana njia za kuwasiliana na mamlaka za uteuzi za mabalozi husika,akajua kuwa hawana baraka hizo
 
Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.

Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.

Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?

Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.

Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.

Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.

Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Asipoelewa hapa basi atakuwa kashindikana
 
Back
Top Bottom