jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Me too.Mi nimeogopaaa mjue..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me too.Mi nimeogopaaa mjue..!
Sasa mlitaka mumuweze wakati alishawalia timing na kachai na juice ya ikulu.....imetoka hio,,,ijue nguvu ya kizimkaziAsipoelewa hapa basi atakuwa kashindikana
Chawa kama chawaHotuba bora ya muda wote.
Mlizoea kufanya huu uhuni kwa kila Rais kumbe hata baraka ya Marais wenu hamna
Unataka matundu yafike mangapi?ngoja tuone panapovuja
Ukiambiwa marais wametoa hizo baraka utaibuka na lipi tena?Hotuba bora ya muda wote.
Mlizoea kufanya huu uhuni kwa kila Rais kumbe hata baraka ya Marais wenu hamna
Mwisho wake (Jiwe) ulikuaje??Ila mlikuwa mnamnanga samia kuwa ni Rais lelemama, kwamba magufuli alikuwa kidume anawakemea mabeberu,
Sasa Samia anaendesha nchi vile alivyokuwa anaendesha magufuli tunaanza kumlaumu
Huyu mama ni ignorant, ni aibu nchi kuwa na rais wa aina hiiKauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Sasa hivi kinafuata kipilo tu,uhuru manyani mmeushindwaAsipoelewa hapa basi atakuwa kashindikana
We bweka tu, hakuna 4R tenaHuyu mama ni ignorant, ni aibu nchi kuwa na rais wa aina hii
Ignorant na ana elimu kuliko wewe,nyi watu huwa wapuuzi sana,magu alikua sahihi kwenye kuminya uhuru wa habari na maoniHuyu mama ni ignorant, ni aibu nchi kuwa na rais wa aina hii
Shetani hajawahi kumshinda MunguSasa hivi kinafuata kipilo tu,uhuru manyani mmeushindwa
Elimu haiondoi ignorance, elimu sio vyeti tu au kuitwa dr, ni zaidi ya hayo. Mwenye elimu akiongea utajua na ignorant piaIgnorant na ana elimu kuliko wewe,nyi watu huwa wapuuzi sana,magu alikua sahihi kwenye kuminya uhuru wa habari na maoni
Magu yuko wapi, huu dunia haina mwenyeweWe bweka tu, hakuna 4R tena
Nafikiri kuwasema hawa weupe, sio tatizo, ila wao hujifanya waemejisahau hivi, halafu kifuatacho, ni maumivu. Ni ukweli walitakalo lazima liwe. Ila nao weupe hupenda sana kusemea kila kitu. Mweupe ana mikakati ya muda mfupi, wa kati na mrefu. Pamoja na matatizo yetu kadhaa,, mweupe yeyote hana uchungu na mtu mweusi.Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
rais wetu ana mesemo yake ukiitafakari unaweza kumdhania kama ana dharau flani hiviKauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Shetani nani na mungu nani katika hili!?..mbowe aliyelewa konyagi chakari akaanguka ndiyo mungu?!Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Kama elimu haiondoi ignorance,nini huondoa ignorance?Elimu haiondoi ignorance, elimu sio vyeti tu au kuitwa dr, ni zaidi ya hayo. Mwenye elimu akiongea utajua na ignorant pia