Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mshakua donor country tembeeni kifua mbele in JPM VOICE.America ni sikio la kufa... USA watakipata wanachotafuta. Wasiponzwe na CHADEMA.
Nadhani Kiongozi anasalimisha matakwa yake ndani ya Matakwa ya umma ndio Katiba. Mambo mengi binafsi anaweza kuamini lakini yakashindwa na nguvu ya Matakwa ya umma.Whether yuko sahihi au hayuko sahihi, Rais wa Nchi anatakiwa kuzungumza yale anayoyaamini hadharani. Na ndiyo maana SSH ni Rais wa JMT.
Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hasemi anayoyaamini wala kuonesha msimamo wake wazi juu ya yale anayoyaamini kwenye kuongoza nchi yake. JPM allifanya, BWM alifanya, JK alifanya na wengine. Kwa kuzungumza leo amefanya jambo la maana japo wahafidhina na wapinzani wake watamkosoa kwenye yale aliyosema lakini muhimu amesema na hakuna mtu angemsaidia kusema.
That is the President we need.
Ukimsoma vizuri huyu mama Urais anaupenda sana.Daah kazi ipo haya mambo ukiyasikia yanaumiza wacha tukae kimya tuendelee kupata maumivu na shilingi inavyoporomoka itafika mbali sana kuipata Usd moja..
Tunatangaza utalii kwa gharama kubwa na tunategemea wageni watoke huko harafu tunatoa kauli ambazo ni Tata kwao kazi tunayo aisee..
Nimecheka sana Mkuu. Kwanini?Mkuu umemg'oa mtu jino bila ganzi 😛
Sasa unajiamini na una Uhuru kwanini tu Usijitegemee Wewe Mwenyewe kwa kila Kitu?Kuomba msaada haimaanishi huna tena sovereignty .
Hata filamu ya kuhamasisha watalii kuja kuitembelea nchi hii alienda kuigiza huko huko kwa hawa watu anaowasema vibaya. Watanzania wenzangu tuzinduke, nchi unakwenda mrama, hawa Watu sisi tunawahitaji zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji sisi.Daah kazi ipo haya mambo ukiyasikia yanaumiza wacha tukae kimya tuendelee kupata maumivu na shilingi inavyoporomoka itafika mbali sana kuipata Usd moja..
Tunatangaza utalii kwa gharama kubwa na tunategemea wageni watoke huko harafu tunatoa kauli ambazo ni Tata kwao kazi tunayo aisee..
Akikujibu hili Swali lako Kuntu (Logical) kabisa Nitagi tafadhali.Sa mbona ye ndio anaongoza kwa kujikomba haipiti mwezi huyoo kwa hao wazungu kuomba mikopo?!.
Kitu ambacho ni Kinyume kabisa na tuliyenae sasa.Kwa kweli URAIS unahitaji mtu mwenye upeo wa hali ya juu sana
Halafu tukisema ana Uwezo mdogo wa Upeo tunaonekana tunamdharau na kumtukana. Hana hata a,b,c's za Diplomasia.Yeye anafikiri anavyofanya kazi sawa na mataifa mengine. Yaani umpigie simu Rais y ku-check kama alimtuma balozi x wa nchi yake, sidhani kama ni sahihi!
Hivi watu wote sisi 71 tulio like hii post ya GENTAMYCINE tutatekwa tuuwawe?Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Inajitegemea kwa utajiri upi..?Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
uko sahihi sana Mkuu,Nadhani Kiongozi anasalimisha matakwa yake ndani ya Matakwa ya umma ndio Katiba. Mambo mengi binafsi anaweza kuamini lakini yakashindwa na nguvu ya Matakwa ya umma.
Wa Ujinga na Upumbavu aliouwasilisha.Inajitegemea kwa utajiri upi..?
Kila nikikumbuka ile kauli kuwa mgombea wa CCM 2025 ni Samia labda hapa katikati mambo yaharibike sana naona kabisa mambo yameshaharibika sana na yataharibika sana, na pia ile kauli yake mwenyewe kuwa aliwahi kuonywa kuwa adui yako siyo wapinzani bali ni wa shati la kijani mwenzako ni dhahiri ajali ya kisiasa imeshaandaliwa.Huyo mama nina uhakika hajui sabotage anayofanyiwa kuanzia kwenye vyombo vya dola mpaka anayemuandikia speech.
Kuna mtu nilibishana naye sana aliponiambia huyo mama 2025 hawezi kugombea kuna mgombea mwingine sikuamini sasa ndio nimeanza kuelewa chase inavyochezwa.
Halafu Kassim Majaliwa mapema ameshatangaza anagombea ubunge kwao.
Ni muda wa kuliombea Taifa, kuna giza nene limetanda.
mama anataka watu kukaa kimya wakati watu wanazidi kupotea na kuuawa hadharani?Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na dollar ndio hiyoo inafikia 3000 siku si nyingi. Lakn hata kina gadaf walikua wabishi sawa. Sisi yetu macho na masikio na Kumuomba Mungu tu atupe uzima tele. Waminyame wao wanasiasa sisi wa chini wasituumizeWa Ujinga na Upumbavu aliouwasilisha.
Na soon atatuamulia huu ugomviMungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo yupo usiku na mchana
Amina / Amen Mkuu.mama anataka watu kukaa kimya wakati watu wanazidi kupotea na kuuawa hadharani?
Kwanini yeye hakuwahi kukemea haya mapema na badala yake anakemea wanaokemea?
Au anafikiri watawala wanayo mamlaka ya kupoteza na kuumiza watu watakavyo?
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo yupo usiku na mchana
Amen / Amina.Na soon atatuamulia huu ugomvi