Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Sijawahi kuona uongozi wa hovyo kama huu.Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.
Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
Viwango unavipimaje?Sijawahi kuona uongozi wa hovyo kama huu.
Uongozi ambao hauna viwango kabisa.
Ahsante kwa ushauri ila pole kwani sisi tunae hadi 2030. Nashauri anzia nfazi ya familia kwanza labda litafanikiwa mdogo mdogo lengo.Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Hapo kwenye ubaguzi fafanua kidogo, nahisi unakereka hateui kama hayati UchwaraBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 20 Uchwara 25.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
ANAYE gombea sio Saa100.Na uvimbe upasuke , 2025 tunaenda na Mama, nyie pigeni porojo ila wananchi wamemkubali
View attachment 2890309View attachment 2890310
Unabishana na Mlinzi wa Legacy ambae angependa kuona JPM anaendelea kuwa madarakani hata kwa miaka 100 ijayo bila kufahamu kwamba kwa sasa haiwezekani na kilichobaki ni ku-move on. Hao ni wale ambae hata SSH amekuwa akiwapa vijembe kwamba walikuwa wanasubiri projects alizoanzisha JPM zikwame ili wapate kusema "tuliwaambia, baada ya Mwamba kututoka kila kitu kingekufa". Kwa bahati mbaya, haipo hivyo.Viwango unavipimaje?
Ila wewe endelea na phishing utamnasa unaye mkusudia
Kweli hauna viwango vya kuteka watu nyara na Hana viwango kutumia mtutu kukusanya KodiSijawahi kuona uongozi wa hovyo kama huu.
Uongozi ambao hauna viwango kabisa.