dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,172
- 3,082
Kwa Awamu ya kwanza awamu hii alikua anammalizia Magu awamu yake INAANZA 2025Atagombeaa na atapita kwa kishindoo kikuu huku wewe na michuki yako binafsi ukishuhudia Mheshimiwa Rais wetu akiapishwa kuliongoza Taifa letu kwa awamu ya pili.
Fomu ya Urais ndani ya CCM Ni moja tu kwa ajili yake mama yetu Rais Samia.