Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hili nakuunga Mkono Stroke. Pia tuwe na Tume huru ili viongozi wasio na uwezo ndani ya ccm wasipate pakuchomokea.Bora akapumzike.
We are tired of dramas.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nakuunga Mkono Stroke. Pia tuwe na Tume huru ili viongozi wasio na uwezo ndani ya ccm wasipate pakuchomokea.Bora akapumzike.
We are tired of dramas.
kwasababu ukweli ni kwamba wanawake hamkuumbwa kua viongozi hamna ubunifu, ujasiri, hulka wala uwezo wa kusimamia na kufuatilia mikakati kufikia malengo. Hata tubishane mwaka mzima swala hili liko bayana kabisa.Kwanini sasa na wewe?
Crap 💩Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Wapo chawa na wale wa kununua magoliBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Wanabadirikaga hawa wanapofika mwishoni😄Alishasema hatogombea , Gazeti la Uhuri liliandika , sasa kwanini mnamlisha maneno ?
Kama humtaki hama chamaBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Acheni porojo wasaidizi wake wanapokosea mnataka alaumiwe Nani kama si yeye aliewateua,watanzania muwe na uchungu na hii nchi Aya mambo ya kusifia mkisibiria teuzi Ni wapuuzi ndio wanatakiwa kufanya tuache ushabiki na kujipendekeza hii nchi tunaipeleka kubaya Mambo mengi yamesimama maji umeme bei za vyakula mafuta alafu watu mnaleta uchawa huu ni ujinga mkubwa
Yaani mwinyi atawale Zanzibar na JMT?Mi naona Samia kabalance maana sidhani kama watampa Majaliwa ambaye kwangu naona kama anafit ila hawawezi mpitisha, Mwingine ni Mwinyi ila anaonekana kama vile wasaidizi watamuendesha sana sababu ya upole tofauti na hapo sioni mtu wa kuuongoza Tz kwa sasa...hayupo na sio kwamba namuelewa Samia no ila ukweli ndio huu
Mumkatae wewe na nani?Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Ikiwemo weweNchi inaongozaa na familia ya
1. JK
2. Mwinyi
3. Saa100
4. Mhagama
5. Makamba
6. Nape
7. Kinana
Hii ndio CCM! Wengine wote walio Baki ni wachumia tumbo.
WANAKOTUPELEKA WAO NDIO WANAOJUA.
Utagombea weweANAYE gombea sio Saa100.
Saa100 hapo ni chambo TU.
HATOGOMBEA!!!
Majaliwa wako ana fit Kwa lipi hasa la kumzidi Sa100?Mi naona Samia kabalance maana sidhani kama watampa Majaliwa ambaye kwangu naona kama anafit ila hawawezi mpitisha, Mwingine ni Mwinyi ila anaonekana kama vile wasaidizi watamuendesha sana sababu ya upole tofauti na hapo sioni mtu wa kuuongoza Tz kwa sasa...hayupo na sio kwamba namuelewa Samia no ila ukweli ndio huu