Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Wewe ni mpumhavu kabisa ambaye kwa bahati nzuri ulizaliwa na mwanaume tu.Tangu lini mwanamke akawa na akili ?!
Tangu lin mwanamke akawa na maono ?
Tangu lini mwanamke awe na tafakuri ?! Hata yeye mwenyewe alishasema hawezi kutekeleza ubunifu na ufuatiliaji kama Magu.
Hawa wao ni kutenda mambo kwa hisia tu, hakuna matumizi ya akili na hoja, hakuna maono wala ubunifu nadhani nyie wenyewe mnajionea hali halisi. By the way sukari huku Kibati imefika Tsh. 5,200
Hata weye unaaanza kumkunia kunguni mwenyekitiBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Wekeni vigezo tukinganishe sio kuandika kama unaharishaBado Lucas nae aje.
Naongelea kuhusu potential candidates watu wapo ila Sasa vigezo wanavyoAcha matusi na kutudhalilisha, yani katika Watanzania million 60 wanakosekana watu hata watano wa kuiongoza nchi hii??
BG CHAWAAtagombeaa na atapita kwa kishindoo kikuu huku wewe na michuki yako binafsi ukishuhudia Mheshimiwa Rais wetu akiapishwa kuliongoza Taifa letu kwa awamu ya pili.
Ni kweli.Alishasema hatogombea , Gazeti la Uhuri liliandika , sasa kwanini mnamlisha maneno ?
Yeye mwenyeweHivi ni nani alikuwa nyuma ya ile habari?
Samia is good but not best President. Nafikiri umeandika kwa kumlinganisha na yule mtangulizi wake. Ameshindwa kuonyesha msimamo kwa kile anachokiamini kama Rais, anayumba kwa kufuata sauti za pembeni.Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.
Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
kuna machawa wanalazimishaAlishasema hatogombea , Gazeti la Uhuru liliandika , sasa kwanini mnamlisha maneno ?
Mueleze huyo mvimba macho.Na kwanini wana wasiwasi sana kwa President Samia kugombea 2025?Jibu ni kwamba wanajua hawana lao.Msemaji wa CCM kasema mbinguni wamemchukulia fomu ya urais.
Waalimu walishachanga hela za kulipia fomu na kazipokea.
Sasa unafata maneno au matendo?
Hata mimi naona shida ni wasaidizi wake,achekeche kidogo...Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.
Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
Umeandika jambo zuri Sana. Hafai kabisa huyuBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Nguvu kubwa inatumika kupitia vyombo vya habari na social networks kwa sbb wanajua hakubaliki ,kila kona anasifiwa na machawa ili achaguliwe 2025Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
wataje.Acha matusi na kutudhalilisha, yani katika Watanzania million 60 wanakosekana watu hata watano wa kuiongoza nchi hii??