Rais Samia hapaswi kuitwa Daktari

Dr ukiwa pale mlimani tu lakini ukifika maeneoya mwenge wewe ni mjasiriamali uliochangamka
 
Sio Udaktari Kama Anatibu Watu Kapewa Udaktar Wa Heshimu Unalijua Ila Bado Unalalamika,kuitwa Daktari Kwani Kunazuia Kujengwa Shule?Mimi Naona Kunaipa Credit Nchi.Kulalamika Bila Sababu Za Msingi Ni Uhaini
 
Mkuu, ukiangalia wakuu wa mihimili mingine, yaani mahakama na bunge, wote wana sifa hizo za "academic titles". Makamu wake wa urais ana hizo pia. Akiwa kama mwanasiasa na kiongozi wa nchi, ikiwamo nguvu ya uongozi ndani ya mihimili hiyo pia (mhimili uliojichimbia), lazima itafutwe namna yoyote iliyokuwa rafiki ya.kumfanya naye anukie waridi pia, kwa kuwa amezungukwa miuwaridi.
 
Ushauri wa bure kabisa aisee
 
Samia ana masters? Hebu lete humu CV zake
 
Wewe ni mpumbavu sana inamaana kila anaemzungumzia kiongozi wa serikali basi ni mpinzani huna akili timamu
 
Kikwete alikuwa mheshimiwa rais halafu makamu wake dr. Shein. Jamaa wakasema haiwezekani wewe makamu aonekane amefanya assignment, test na tasnifu kushinda bosi, jamaa waka equalize ili ionekane both teams to score YES.
 
Si angeukataa sasa?
Wivu ni kitu kibaya sana! hivi mtu ambaye tayari ana'occupy the highest office on land unadhani udaktari wa heshima unamuongezea chochote katika katika na mambo yake?
 
Nimesoma mahali mfano unaitwa Juma Shaban, kama ulipata kwa kusomea utaitwa Dr. Juma Shaban, lakini kama wa heshima utaitwa Juma Shaban (Dr) ili kuwa tofautisha..... hivyo haitakiwi kuanza na Dr kama hujasomea.. I stand to be corrected.
 
Mfumo wetu wa elimu uliochezewa ndo umezalisha wasomi walamba viatu.

Waliotoa hiyo PhD award ni wasomi waliosotea haswaa.

Ni Tanzania pekee tuna huo uzuzu wa kujipendekeza kwa marais waliopo madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…