Rais Samia hapaswi kuitwa Daktari

Ukiachana na ishu za USHOGA ambazo inaonyesha ni favorite topic yako, upo quite free minded and intellectually honest, which in fact, is not bad at all.
 
Your browser is not able to display this video.

Hawawezi kututoa kwenye kumbukumbu hii.

Yote ni kumsafisha ila inajulikana alichokipata tu hapo kwenye shule ya upili.
 
hahahaa ccm mbele kwa mbele
 
Ph.D za Honoria Causa zinatambuliwa na chuo husika tu. Kwahiyo anayepewa degree hiyo anatakiwa atambulishwe na chuo kilichompa heshima hiyo tu sio nje hapo.
 
View attachment 2855688
Hawawezi kututoa kwenye kumbukumbu hii.

Yote ni kumsafisha ila inajulikana alichokipata tu hapo kwenye shule ya upili.
Naomba tusiwahukumu watu kwa matokeo ya makaratasi, kuna watu wengi wana akili nzuri tuu, ila wanamatokeo mabaya kutokana na sababu kadhaa wa kadhaa. Cha muhimu angalia uwezo wa mtu na utendaji wake.
P
 
Mwalimu Nyerere Pamoja na kuwa nazo lukuki hakuwahi kujiita Dr Kambarage Nyerere.
 
Naomba tusiwahukumu watu kwa matokeo ya makaratasi, kuna watu wengi wana akili nzuri tuu, ila wanamatokeo mabaya kutokana na sababu kadhaa wa kadhaa. Cha muhimu angalia uwezo wa mtu na utendaji wake.
P
Hatuhitaji kumuhukumu ameshajihukumu tayari ndani ya miaka yake 3!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…