Rais Samia, hata siku moja mwekezaji habembelezwi kuja kuwekeza nchini, tafadhali zingatia yafuatayo watakuja wenyewe

Rais Samia, hata siku moja mwekezaji habembelezwi kuja kuwekeza nchini, tafadhali zingatia yafuatayo watakuja wenyewe

Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permit

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Mama sijui alisomea nini na sijui ni kipi anakielewa zaidi ili aweze kukifanyia jazi mwenyewe.

Ila iwapo anatumia. Vichwa vya wengine kufanyia kazi bila yeye kuvijua au kufanya utafiti , timu yake ya 2030 inawadanganya CCM na wananchi kwa ujumla.
 
Aache uendawazimu,nani wa kuwekeza kwenye nchi ya majenereta

Au waje watengeneze viwanda vya majenereta
Hilo nalo jambo, kiwanda cha majenerator.

Tanzania ni nchi ambayo ukijenga kiwanda cha kutengeneza majenerator, bei yake itabidi iwe juu kuliko yale yanayoingizwa nchini na ukiuza kwa bei ya chini itabidi ufunge kiwanda. Kuna vitu vya ajabu sana kwenye nchi hii
 
Viongozi wa serikali wanafikiri wawekezaji wanatoa hisani, wale ni wafanyabiashara wanaangalia fursa. Pia Wana taarifa nyingi za nchi yetu kuliko zile tunazowapa.
Kwa sababu wanawekeza pesa zao lazima waangalie na mazingira yetu, ni kichekesho Kwa nchi yenye vyanzo vingi vya nishati kuangaika na mgao wa umeme au maji . Siasa inapoingiliana na utaalamu ni tatizo au pale mkuu wa wilaya, mkoa au polisi anapoingilia kazi ya tra.
Kama serikali ikitengeneza mazingira mazuri wawekezaji watakuja wenyewe hawatasubiri kuitwa.
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Unahitaji ulinzi wewe..
Very productive thread kwa wenye mamlaka
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Pull and Push factors
 
Viongozi wa serikali wanafikiri wawekezaji wanatoa hisani, wale ni wafanyabiashara wanaangalia fursa. Pia Wana taarifa nyingi za nchi yetu kuliko zile tunazowapa.
Kwa sababu wanawekeza pesa zao lazima waangalie na mazingira yetu, ni kichekesho Kwa nchi yenye vyanzo vingi vya nishati kuangaika na mgao wa umeme au maji . Siasa inapoingiliana na utaalamu ni tatizo au pale mkuu wa wilaya, mkoa au polisi anapoingilia kazi ya tra.
Kama serikali ikitengeneza mazingira mazuri wawekezaji watakuja wenyewe hawatasubiri kuitwa.
Ujasusi wa kidola na kiuchumi. Kwenda kuwapigia ngoma huku wakijua kila kitu nyumbani kwako ni bure.

Sana sana utaambulia kuona maghorofa mazuri ughaibun
 
Ubarikiwe Mkuu.


Nashangaa Kuna lijamaa limoja la CCM humu, Kila siku linaandika machapisho ya kumsifia Samia.


Badala ya Kuandika vitu kama hivi
Linaitwa li - Lucas mwashambwa...

Yaani ili mradi yenyewe yamekula na kushiba ndiii matumbo yao, basi they never care and think about others...!

All in all, umemwaga madini ya dhahabu safi yenye thamani ya juu sana. Wenye akili huko serikalini wakikusoma, wataelewa na watajirekebisha ktk utendaji wao..
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Umemaliza kila kitu Cha msingi tunaita investment enablers for any particular state, FDI sio Siri indicators on investment and easness in doing business, local capital investments, ukwasi wa mabenki nk, Sheria zetu na Mahakama za ndani. Umetisha sana
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Kwenye knowledge pyramid you have synthesized ur analysis 🙏
 
Sasa mtu katoka kwenye jamii watu wapo 1.8M. Ally Kessy alisema ukipiga filimbi wote wanatoka.
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.

Ulisahau matatizo ya Uvamizi uliopewa jina la muungano, namna gani unakwamisha kuja wawekezaji na watalii nchini
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Ni HAKIKA na KWELI tupu..

Ni jambo la kushangaza kuwa, Rais wa nchi anatembea huko duniani kutafuta wawekezaji wakati serikali yake huyu Rais imeshindwa hata kuwa na assurance ya huduma bora na ya uhakika ya MAJI na UMEME...!

Yaani Rais anaalika foreign investors huku akiwa hajui kuwa nchi yake iko gizani (haina umeme wa uhakika) na ina kiu cha maji (haina huduma ya maji) achilia mbali hayo mengine ya utulivu wa kisiasa, nafuu ya urasimu wa utoaji huduma nk nk..

Bila shaka huyu kiongozi (Rais) afanyaye hayo kabla kwanza hajaweka mazingira bora kwa ajili ya uwekezaji wa ndani na wa nje, obviously atakuwa ni mwendawazimu na hajitambui...

Hatumtukani Rais wetu. Lakini kama anafanya matendo yafanywayo na mwendawazimu bila shaka na yeye atakuwa ni mwendawazimu tu bila kujali status yake...!
 
Linaitwa li - Lucas mwashambwa...

Yaani ili mradi yenyewe yamekula na kushiba ndiii matumbo yao, basi they never care and think about others...!

All in all, umemwaga madini ya dhahabu safi yenye thamani ya juu sana. Wenye akili huko serikalini wakikusoma, wataelewa na watajirekebisha ktk utendaji wao..
Ndioo Hilo Lilukas , ni lipuuuzi kwelikweli
 
JF bado kuna vichwa hasa kongole mleta uzi umepita kwenye nyanja zote muhimu mbaya zaidi ni kuwa viongozi wetu hujifanya kujua kila kitu mwisho ujinga wao huwa wazi kabisa sio open minded

Binafsi huwa naona safari za Dr Samia sijui kwenda ughaibuni kutafuta wawekezaji huwa naona kama ni kupoteza muda na matumizi yasiyo ya lazima ya Kodi zetu kwa mazingira ya Tanzania hakuna mwekezaji mwenye akili timamu atakuja kuwekeza Tanzania hizi ni day dream.

"Mganga wa kienyeji huwa aendi sokoni"
 
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa ni nguvu ya soko (market forces) na mazingira ya uwekezaji katika uchumi huria vitakavyoamua kama wawekezaji watakuja au la.

Raisi Samia unaweza ukaenda Marekani na kwingineko hata kuwatumbuiza wawekezaji kwa taarabu ukipenda, lakini kama Tanzania haina conducive investment environment hawaji ng'o! Uwe unajiuliza, nini kitamfanya mwekezaji aje Tanzania badala ya kwenda nchi nyingine? Namna gani tunaifanya Tanzania kuwa na comparative advantage katika kuvutia wawekezaji? Kumbuka chema chajiuza, kibaya chajitembeza!

Sasa baadhi ya mambo wawekezaji wanayoangalia kuleta investment ni haya hapa, na kwa kweli nimejaribu kutaja karibu yote;
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
Sasa niambie Raisi Samia, kama ungetakiwa kutoa marks kwa kila kipengele hapo juu, ungetoa ngapi? Sasa ukifanyia kazi hayo juu, wala huhitaji kupiga vuvuzela kuita wawekezaji, watakuja wenyewe!

Mfano, ni miaka mingapi wawekezaji wanalia na usumbufu wa residency permits? Kwanza serikali haitoi hata kile kitu kinaitwa permanent residency kwa wawekezaji hata wale wakubwa hata waliooa Watanzania! Wanasumbuliwa sana na uhamiaji ku-renew permits.

Pili, Watanzania wanajulikana duniani kama wafanyakazi wavivu na wezi! Watu wanaisema nchi yetu vibaya sana katika udokozi ofisini nk. Watu wanaiba hadi stapple pins, sukari, vijiko vya chai vya ofisi! Bosi akisahau laptop mahali imekwenda! Wizi wa mitaani ndio usiseme. Wewe unajua ukiwa uarabuni huko ukasahau kufunga vioo vya gari, bado utaikuta laptop yako na simu kwenye gari, lakini sio hapa kwetu - kwanza wanavunja gari wakiona laptop kwenye gari.

Haya, upatikanaji wa umeme na maji je, ninahitaji kusema hapo kweli? Unamwambia mwekezaji aje kuja kukabiliana na matatizo ya umeme na maji nchi atakuja kufanya nini, kwa sababu anatupenda sana Watanzania au wewe raisi?

Kuna wawekezaji wamelalamika viongozi wa serikali hawapatikaniki, ni rahisi kufanya appointment na raisi wa USA kuliko waziri au katibu mkuu Tanzania. Kwa nini? Kwa nini hawa wateule wako wanajifanya miungu watu hard to get? Wawekezaji wanakuambia ilituchukua miezi sita kumwona waziri! Waambie watu wako hawa waache kujifanya miungu watu, wawe na open door policy katika kuhudumia watu, watanzania na wawekezaji.

Vipi urahisi wa kuja au kutoka Tanzania? Achana na sera za visa arrangement reciprocation, yamepitwa na wakati. Kama Marekani wanatusumbua kutupa visa, wewe waambie Wamarekani wakija watapata visa airport kirahisi kabisa. Scrap visa requirements kwa nchi ambazo zina potential za wafanyabiashara kuwekeza nchini. Ifanye Tanzania kuwa the easiest country to fly to, itasaidia kuleta wewekezaji na watalii. Mara nyingi watalii wanazalisha wawekezaji. Kumbuka hilo.

Halafu kumbuka huu ugomvi wenu CCM na vyama vya upinzani una athari kubwa sana katika kuvutia wawekezaji. Hawapendi kusikia sijui Mbowe kafunguliwa kesi za uhaini, Lissu kaomba hifadhi Ubelgiji - unahitaji kuwa concerned na hayo mambo, usieme hayakuhusu! Wawekezaji siku zote wanapenda strong political opposition kama check na control dhidi ya chama tawala, hawapendi upinzani dhaifu katika nchi wanazowekeza. Hivyo kuwa na upinzani ulio strong is a good thing for investments - waambie watu wako wa CCM pamoja na viongozi wako wa Bunge. Wasibeze hoja za upinzani Bungeni hasa zenye mshiko, wawekezaji wanasikia!

Una kitu kinaitwa Tanzania Investment Centre, hivi wanafanya kazi gani? Waulize katika hayo hapo juu wana mkakati wowote? Mara ngapi wamekuja kuku-consult kwamba Mheshimiwa raisi hili na hili vinatukwamisha tunaomba uingilie kati? Wapowapo tu wanasubiri mtu agonge hodi waanze kumsumbua badala ya kumsaidia. Wanahitaji kuwa pro-active, waendane na vision yako, sio wakae ofisini wasubiri wewe ukapige debe Marekani ili waje kugongewa hodi.
Uwekezaji ni fursa kubwa na bahati kupatikana na hivyo ni kweli tupu mwekezaji hapaswi kubembelezwa, ukiona anabembelezwa huwa inamaanisha anapokwenda kuwekeza kuna changamoto nyingi.
 
Back
Top Bottom