KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Umeona wapi wanapinga..?Ishu za ushoga zilikuwaga za obama ila alivyoingia trump mlokole alipinga kabisa na jiulize tangu aingie trump umewai kuona wanaongelea hayo mambo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wapi wanapinga..?Ishu za ushoga zilikuwaga za obama ila alivyoingia trump mlokole alipinga kabisa na jiulize tangu aingie trump umewai kuona wanaongelea hayo mambo??
Mfatilie trumpUmeona wapi wanapinga..?
Waafrika huhalalisha maovu yao kwa kuangalia wazungu kama nao wanafanya.Rais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
View attachment 2203746
Hahahahahah. Ni sawa na JPM akiwaambia majambazi yake akina Sabaya na Makonda "chapeni kazi" bila kujali wananchi wamechefukwa kiasi gani.Anamtetea mwanae,
Haya wapiga yowe mama kasema tutulie
marekani ni sawa na bongo tu
Kuna mambo huwa ni kuyamezea tu hayapaswi kusemwa publicRais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
Nina hasira sana mkuu, mama anawadanganya watu wazima hivi hivi kirahisi ili kutetea uzembe wa li toto la waramba asali.!! Ndio maana Biden kamu ignore kamwachia Harris waongee mambo ya kupika pika ma pilau na baba yake Rihanna 😀 😀 , Wiki mbili nzima anakula pesa za walipa kodi huku Biden hajui hata kama kuna kiongozi wa nchi nchini kwake,.. daah tumepigwa kwa kweli naiona awamu mbovu kuliko zote ni hii.Unasema ukweli mkuu,ila punguza jazba nchi ngumu hii.
Acha uongo, tangu lini Trump kawa mlokole? Usitake kuleta vichekesho. Mjadala kuhusu ushoga umekuwepo Marekani kabla ya Obama na bado unaendelea hata baada ya Trump. Halafu hakuna mahali Trump amewahi kupinga ushoga hadharani. Lete ushahidi hapa.Ishu za ushoga zilikuwaga za obama ila alivyoingia trump mlokole alipinga kabisa na jiulize tangu aingie trump umewai kuona wanaongelea hayo mambo??
Huyu rais Tanesco imemshinda anatafuta kichaka cha kujificha yaani mwaka mzima baada ya kulipia Tanesco sina umeme.....***** zakeRais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
View attachment 2203746
SURE...yaani mwendawazm haswa.....yaan linaleta sababu za kijinga kama litoto...watu tumelipia umeme mwaka jana hadi leo april bila bila.....halafu lijitu lingine linatetea Tanesco....Hili libibi ni very irresponsible!
Sijui walimtoa wapi huyu mlegevu asiyetaka kuwajibika?
KWELI.....HIVI HAKUNA MTU MWENYE NAMBA YA PUTIN AJE ATUFANYE JIMBO LAKE AACHANE NA UKRAINE...,???Nina hasira sana mkuu, mama anawadanganya watu wazima hivi hivi kirahisi ili kutetea uzembe wa li toto la waramba asali.!! Ndio maana Biden kamu ignore kamwachia Harris waongee mambo ya kupika pika ma pilau na baba yake Rihanna 😀 😀 , Wiki mbili nzima anakula pesa za walipa kodi huku Biden hajui hata kama kuna kiongozi wa nchi nchini kwake,.. daah tumepigwa kwa kweli naiona awamu mbovu kuliko zote ni hii.
Keshahapoteza mwelekeo. Urais kwa mtu kama huyu ni kujitakia matatizo tu.Rais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
View attachment 2203746
Sasa unabisha nini kilaza wewe tafuta clip zake uone , na kuhusu ulokole nalo unapinga??!! Sibishani na viazi mbatata uwe unapekuwa habari wewe kichwa chako mzigo mtafute trump speech zake umjue vizuri kilaza wewe yaani unataka unipe kazi eti yakuanza kukuonesha??!!!!🙄🙄🙄🙄Acha uongo, tangu lini Trump kawa mlokole? Usitake kuleta vichekesho. Mjadala kuhusu ushoga umekuwepo Marekani kabla ya Obama na bado unaendelea hata baada ya Trump. Halafu hakuna mahali Trump amewahi kupinga ushoga hadharani. Lete ushahidi hapa.
Kwahiyo kukatika kwa umeme Washington ni Suluhu kukatika kwa umeme bongo???Rais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
View attachment 2203746
Kwa hiyo kukatika Umeme Marekani ndio kipimo Cha Mama kukatika Umeme Nchini? Kwa maana ya kwamba "Wacha ukatike, Mbona Hata Marekani unakatika!" Kweli??Rais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
View attachment 2203746
Hivi kweli eeh?? Biden alikuwa anaumwa, au kadharau TU??Nina hasira sana mkuu, mama anawadanganya watu wazima hivi hivi kirahisi ili kutetea uzembe wa li toto la waramba asali.!! Ndio maana Biden kamu ignore kamwachia Harris waongee mambo ya kupika pika ma pilau na baba yake Rihanna 😀 😀 , Wiki mbili nzima anakula pesa za walipa kodi huku Biden hajui hata kama kuna kiongozi wa nchi nchini kwake,.. daah tumepigwa kwa kweli naiona awamu mbovu kuliko zote ni hii.