Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Rais anashangilia umeme kukatika badala ya kujipanga amalize tatizo.Rais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
View attachment 2203746
Yani hajui umeme kukatika nchi ya ughaibuni linaweza kuwa tatizo kubwa la kiusalama kwake.
Jambo la hatari, anachekelea.