Rais Samia: Hatupo tena uchumi wa kati tumeshushwa na hadi 2025 tutapambana turejee

Rais Samia: Hatupo tena uchumi wa kati tumeshushwa na hadi 2025 tutapambana turejee

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200


Rais Samia na Mwigulu ni yupi mkweli?!

Hapo juu ni Samia akikiri wazi Tanzania haipo tena uchumi wa kati, imeporomoka na aliahidi atapambana ili ifikapo 2025 uchumi wa Tanzania urejee kwenye daraja la kati.

NB: Teknolojia.
 
Walikua wanaona rahisi saaana mwenzao alipokua akiongoza nchi mpaka kuifikisha huo uchumi wa kati, wakaungana kumkwamisha na kumuwinda.

Walidhani uongozi ni kama mashavu ya matako kila mtu anaweza kuwa nayo anapozaliwa.

Saa hizi kila kitu kinawafia, na bado. Mwisho wa ubaya ni aibu
 
Back
Top Bottom