Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Sasa wewe unaweza ukakaa na akili zako kuamini matamko ya mwigulu ?View attachment 2413484
Rais Samia na Mwigulu ni yupi mkweli?!
Hapo juu ni Samia akikiri wazi Tanzania haipo tena uchumi wa kati, imeporomoka na aliahidi atapambana ili ifikapo 2025 uchumi wa Tanzania urejee kwenye daraja la kati.
NB: Teknolojia.