Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ndio mkazane kumnunulia mwigulu mchemba V8 mpya kila mwaka ili uchumi wa nchi yenu ukue zaidi.Ndio maana yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkazane kumnunulia mwigulu mchemba V8 mpya kila mwaka ili uchumi wa nchi yenu ukue zaidi.Ndio maana yake!
Kwani Magonjwa Mtambuka anasemaje?Ukweli mchungu
Chadema watapinga
You can pay for school but you can't buy class. Ndio mana pamoja na kua unaweza kubangaiza kuandika kiinglishi huna akili ya kufahamu viashiria vya uchumiHow much should I pay u per lesson in terms of Us dollar ?
Tungekuwa mbali sanaTutashuka mpaka uchumi wa mkia tusipokuwa makini.
Ili nchi iendelee inahitaji Rais asiyeyumbishwa na miluzi mingi. Magufuli walikuwa wanamchukulia dikteta kwakuwa alikuwa hataki kusikiliza makelele mengi, angekuwa anasikiliza miluzi mingi asingekuwa na msimamo.Waliomuondoa Magufuli sijui wanapata raha gani wakiona watanzania wanateseka na kupanda kwa gharama za maisha kiholela holela as if nchi haina uongozi wa ku regulate bei za bidhaa mbalimbali.
Lazima wapinge.Yani siku mbili tu tulikuwa "dona kantle" leo tumebururuka?Yuuwiii daadeee!Ukweli mchungu
Chadema watapinga
Crazy man, I was so specific, wanted to pay you per lesson. Overhere we dont buy classes. Gerit ?You can pay for school but you can't buy class. Ndio mana pamoja na kua unaweza kubangaiza kuandika kiinglishi huna akili ya kufahamu viashiria vya uchumi
Mafisadi walikuwa hawafurukuti ndio maana nchi ilikuwa walau ina mwelekeo na utulivu. Sasa sahizi utawala wa kambale tu, mkubwa ndevu mdogo ndevu basi tafrani😂😂😂Ili nchi iendelee inahitaji Rais asiyeyumbishwa na miluzi mingi. Magufuli walikuwa wanamchukulia dikteta kwakuwa alikuwa hataki kusikiliza makelele mengi, angekuwa anasikiliza miluzi mingi asingekuwa na msimamo.
Enzi za Magufuli vyakula vilikuwa bei poa, na kipato kilikuwa kinatosha walau
Samia kaongeza mishahara na kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei mwisho wa siku kazi aliyoifanya inakuwa careless n hopeless.Ili nchi iendelee inahitaji Rais asiyeyumbishwa na miluzi mingi. Magufuli walikuwa wanamchukulia dikteta kwakuwa alikuwa hataki kusikiliza makelele mengi, angekuwa anasikiliza miluzi mingi asingekuwa na msimamo.
Enzi za Magufuli vyakula vilikuwa bei poa, na kipato kilikuwa kinatosha walau
Anayetegemewa kuwadhibiti hao wala rushwa, ndio wanamuandalia visafari vya ajabu ajabu na yeye anajiskia burudaaani.Mafisadi walikuwa hawafurukuti ndio maana nchi ilikuwa walau ina mwelekeo na utulivu. Sasa sahizi utawala wa kambale tu, mkubwa ndevu mdogo ndevu basi tafrani[emoji23][emoji23][emoji23]
Jameni Tanzania haijawahi kuwa na uchumi wa kati,labda wakati wa Mwalimu Nyerere tulikuwa hapo au zaidi, lakini kwa kuwa Mwamba alikuwa anapigania uhuru wa nchi kusini mwa Afrika asigeweza kuwekwa uchumi wakati kwa kuwa ukombozi, ungegeuka shubiri kwa mabeberu.View attachment 2413484
Rais Samia na Mwigulu ni yupi mkweli?!
Hapo juu ni Samia akikiri wazi Tanzania haipo tena uchumi wa kati, imeporomoka na aliahidi atapambana ili ifikapo 2025 uchumi wa Tanzania urejee kwenye daraja la kati.
NB: Teknolojia.
Wala haangaishi kichwa, wakula ale ila wasishikane mikonoAnayetegemewa kuwadhibiti hao wala rushwa, ndio wanamuandalia visafari vya ajabu ajabu na yeye anajiskia burudaaani.
Nipe kiashiria kimoja cha kukua kwa uchumi wa tz.
Utakufa nacho kijiba cha roho! Magufuli alikua mpika data hatukuwai kuwa hukoo.Tutashuka mpaka uchumi wa mkia tusipokuwa makini.
Bora Andrew Tate useme wewe, sisi wengine tunaambiwa kitu kidogo tu, tunalalamika.Mama samia kinachomatter sio status ya Uchumi wa taifa bali ni uhalisia wa maisha.
Uchumi wa kati Uchumi wa mbele haijalishi, vyote ni zuria la kufunika uhalisia wa kutisha wa maisha ya majority ya Watanzania.
Over there you pay for mediocrity and unhinged passableness. No wonder you are way up your ass over here embarrassing your little self.Crazy man, I was so specific, wanted to pay you per lesson. Overhere we dont buy classes. Gerit ?
Hakika umenena, nikifika Kkoo huwa natumia muda mwingi sana kuwashangaa wakina dada waliojazia neema za allahNchi kua na wanawake wenye misambwanda wengi
Anau... Mwingi ilikuwa slogan ya wadwanze! [emoji23][emoji23][emoji23]
Its high time to rea.. What you Sow fellaz!