Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Nashauri serikali ijikite kuhakikisha kuwa pesa inakuwa kwenye mzunguko. Vinginevyo uchumi utadorora sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika umri wako mpaka leo haujagundua kuwa CCM ni jinamizi?Sasa mbona Mhongo akikariri hayo(Tanzania imeshuka na kwa sasa haipo uchumo wakat) inakuwa nongwa na kuonekana anakisema vibaya chama!?
Mimi nipo uraiani Tanzania sihitaji reports za wanasiasa kujua mustakabali wa hali za kiuchumi za raia wenzangu.Kwa WB classification, Tanzania ipo lower middle class.
Ni middle class economy as we speak per WB classification.
Read journals, reports and other publications from reputable institutions. Weka Tabia ya kujisomea, siyo kuwasikiliza tu watu.
CHADEMA WAMESABABISHA TUSHUKEUkweli mchungu
Chadema watapinga
Majuha mpowengi sana humu, Yani mnafurahiya kuambiwa masikini kuliko kuambiwa mnauwezo, mmekaa kitumwa tumwa sana nyinyi watu.Wewe unaongea nini sababu kubwa ya kurudi uchumi wa chini ukiacha Covid ni Sera mbovu za uchumi alizozia adapt Magufuli.
N.B Magufuli amechukua Nchi ikiwa Uchumi wa Kati kwa Taatifa yako
Kuandika maneno meeeengi yasiyo na msingi sio mbadala wa kujibu hoja ya msingi, sawa wewe kima wa kijani ?Ndezi wewe, naona umeamua kurudi kwenye kiswahili. Wewe ni mjinga kama wajinga wengine tu na huwezi kunilazimisha kufanya lolote. Nimeshakuelimisha vya kutosha na naamini somo umelipata. Kuhusu viashiria sasa, utavipata pia huko google ulikokua unatoa viinglishi uchwara vyako
Leo kama unauwezo wa kujilipia nauli ya Kwenda na kurudi China pasipo kuumiza kichwa, hauhitaji WB ikwambie wewe una uwezo wa kwenda China to and fro bila kuumiza kichwa.Majuha mpowengi sana humu, Yani mnafurahiya kuambiwa masikini kuliko kuambiwa mnauwezo, mmekaa kitumwa tumwa sana nyinyi watu.
Chadema wana miaka thelasini hebu angalia makao yao makuu. Wanajidai eti chama chao kipo mioyoni.
Chama si kinataka kuongoza taifa?Tatizo ni kwamba mambo ya kitaifa unafananisha na mambo ya chama Cha upinzani ambacho kwa Sasa hata ruzuku hakichukui.
Chama si kinataka kuongoza taifa?
Kwani haiwezekani wote wakawa siyo wakweli?Rais Samia na Mwigulu ni yupi mkweli?!
Hivi unamweleza nani habari hizo?Ndio nikakuambia unakosea kuiingiza madhaifu na mafanikio ya CHADEMA kwenye uchumi wa taifa. Huwezi kulinganisha CHADEMA na serikali inayopokea Kodi na tozo kila siku na mikopo mikubwa kutoka nchi za nje.
Kama tunataka kufanya ulinganifu wa haki tulinganishe vyama Kama vyama.
Hamna kitu hapo. Hao chadema wakishika dola nchi nzima itakuwa hovyo kama ilivyo hapo ufipa.Ndio nikakuambia unakosea kuiingiza madhaifu na mafanikio ya CHADEMA kwenye uchumi wa taifa. Huwezi kulinganisha CHADEMA na serikali inayopokea Kodi na tozo kila siku na mikopo mikubwa kutoka nchi za nje.
Kama tunataka kufanya ulinganifu wa haki tulinganishe vyama Kama vyama.
Mbaya ni dhalimu wakoMbaya ni nani sasa, dhalimu ama nani?
Kwamba wb walikupiga kamba?Awamu ya tano iilikuwa mahiri sana kwa upikaji takwimu. Yule dhalim alikuwa mtu wa kamba sana.
Wakati wa magufuli waliotuweka wametushusha tena.Ni lini tulikuwa huko?
Uongo wa mtu mmoja na mpenda misifa ya kijinga atasapotiwa na wajinga wenzake tu.Ni sayansi ya uchumi na imani yako haiathiri chochote.