Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikuambia wewe kwamba Kuna mtu aliona nongwa.Sasa mbona Mhongo akikariri hayo(Tanzania imeshuka na kwa sasa haipo uchumo wakat) inakuwa nongwa na kuonekana anakisema vibaya chama!?
This energy you put on writing nonsense was more than enough to outline just one indicator of the requested subject.Over there you pay for mediocrity and unhinged passableness. No wonder you are way up your ass over here embarrassing your little self.
#HapaKaziTu
Hakika umenena, nikifika Kkoo huwa natumia muda mwingi sana kuwashangaa wakina dada waliojazia neema za allah
With all due respect, I chose to let a fool drown in their foolishness.This energy you put on writing nonsense was more than enough to outline just one element of the requested subject.
Uongozi wa kiwakiNchi ukishaona chakula kimepanda bei jua ni patashika nguo kuchanika
Huna unalolijua, unashupalia uchumi umekuwa meanwhile huwezi kujustify claims zako hata kwa ka point kamoja tu. Hopeless.With all due respect, I chose to let a fool drown in their foolishness.
Ndezi wewe, naona umeamua kurudi kwenye kiswahili. Wewe ni mjinga kama wajinga wengine tu na huwezi kunilazimisha kufanya lolote. Nimeshakuelimisha vya kutosha na naamini somo umelipata. Kuhusu viashiria sasa, utavipata pia huko google ulikokua unatoa viinglishi uchwara vyakoHuna unalolijua, unashupalia uchumi umekuwa meanwhile huwezi kujustify claims zako hata kwa ka point kamoja tu. Hopeless.
Uongozi wa kiwaki
Duh.Kwani Magonjwa Mtambuka anasemaje?
Chadema wana miaka thelasini hebu angalia makao yao makuu. Wanajidai eti chama chao kipo mioyoni.Tulifika 1080 kwa sasa matumizi ni 990 tuko below dola moja yaani watanzania wengi tuna uhakika wa mlo mmoja, ndio maana akina mama wakaanga mihogo ya mia mia waneongezeka maana wateja ni wengi, na ni vile tunaishi kwa kudra za Mungu tu kwenye afya ni balaa, yaani mtanzania akiugua ni mawili kufa au kupona, na ndio maana watu wako kama wamechanganyikiwa
Walikua wanaona rahisi saaana mwenzao alipokua akiongoza nchi mpaka kuifikisha huo uchumi wa kati, wakaungana kumkwamisha na kumuwinda. Walidhani uongozi ni kama mashavu ya matako kila mtu anaweza kuwa nayo anapozaliwa. Sahizi kila kitu kinawafia, na bado. Mwisho wa ubaya ni aibu
Bwah haha hahaa my ribs mbona hamtaki kukiri mmeshachemsha kama hindocha????Wewe unaongea nini sababu kubwa ya kurudi uchumi wa chini ukiacha Covid ni Sera mbovu za uchumi alizozia adapt Magufuli.
N.B Magufuli amechukua Nchi ikiwa Uchumi wa Kati kwa Taatifa yako
Unaakili kweli?kwani anayeweka hizo data ni magufuli au WB au IMF?tumia elimu yako ya darasa la SabaUtakufa nacho kijiba cha roho! Magufuli alikua mpika data hatukuwai kuwa hukoo.
Kwa WB classification, Tanzania ipo lower middle class.Tusidanganyane, Tz haijawahi kufikia uchumi wa kati tangu ipate uhuru.
Ukweli mchungu
Chadema watapinga